Tangazo la blue band full raha

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Dec 8, 2014
1,698
1,257
Nipo naangalia BBC Swahili, Dira ya Dunia, kipindi ambacho nakipenda sana.

Hawa Blue Band nadhani wana mkataba wa tangazo lao na Star Tv, napenda yule mama anavyokiendesha kile kibaiskeli cha bintiye kumuwahishia mkate uliopakwa blueband.

Huwa nawaza wamama wote wangekua shupavu kwa style ya ad ile ingekuwa poa sana. Sichoki kulitazama. Wakenya nawakubali sana kwenye tv ads.
 
Ile vipande vimeeditiwa ndugu yangu but wamejitahid sana..Hata hivyo pia sidhan kama zile sura ni za wakenya labda tangazo lao tu
 
Ile vipande vimeeditiwa ndugu yangu but wamejitahid sana..Hata hivyo pia sidhan kama zile sura ni za wakenya labda tangazo lao tu
Najuwa kama wameedit ila mi napenda tu....mbona movie tunaangalia na ilihali tunajua ni uongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom