Mkuu uko na PhD lakini jinsi umeweka tangazo lako mmh bado halijajitosheleza. Kigezo ni kuwa uk pekee na rangi? Umri, jinsia hujaweka
mkuu hivyo havina shida issue ni sitaki long distance ilishanitesa sana, umri sio issue sana kwani tunaelekea mbele sio nyuma, elimu sio issue iwe kawaida tu hata diploma kwenda juu kwani kwenye ndoa hatufanyi mitihani upendo ndio issue kubwa na hata mtu hajasoma anaweza kumpenda na kumjali mtu
naona hata jinsia bado haina shida kabisa cha muhimu ni kumpata mwenza!
hiyo noma sasa awe wa kike
hahahaaaa nlikuwa nimeanza kuifikiria iyo situation ya jinsia yoyote!
mtu huchelewi kupata jinsia sawa na wewe asante kunikumbusha , wewe ni me au ke
Natafuta mwenzangu wa kuwa nae ila awe hapa UK niko mpweke sana na napenda rangi kama mimi sio mzungu. Alieko karibu anitumie kijiujumbe tuweze kuwasiliana na kusogeza maisha mbele, elimu yangu ni PhD na kazi zangu nyingi ni za utafiti hasa wa dawa za magonjwa ya kifua
Natafuta mwenzangu wa kuwa nae ila awe hapa UK niko mpweke sana na napenda rangi kama mimi sio mzungu. Alieko karibu anitumie kijiujumbe tuweze kuwasiliana na kusogeza maisha mbele.
Elimu yangu ni PhD na kazi zangu nyingi ni za utafiti hasa wa dawa za magonjwa ya kifua.
Upo UK ukerewe au UK mbele?
mambo!
jinsia kwake si tatizo teh teh teh teh...
Mkuu uko na PhD lakini jinsi umeweka tangazo lako mmh bado halijajitosheleza. Kigezo ni kuwa uk pekee na rangi? Umri, jinsia hujaweka
nimekumiss kinyama..!Shega....
Upo UK ukerewe au UK mbele?
Kwa jinsi alivyojielezea ndio maana kakosa hata demu navyojua uk birmingham kuna warembo wengi sana kujieleza kwa keyboard ni tatizo je akiwa mbele ya mbebez wa ukweli si atakuwa bubu? Ulikuwa unapiga nyanga bila kuwa social mtu wa phd unashindwa kutongoza demu? unashindwa hata na young killer au dogo janja?