Jidundufila Member Joined Nov 2, 2010 Posts 86 Reaction score 11 Apr 1, 2012 #1 Napenda kuwapa taarifa kuwa siku ya wajinga imekwisha saa nne asbh. Hivyo naomba tuendelee na utaratibu wetu wa kawaida.
Napenda kuwapa taarifa kuwa siku ya wajinga imekwisha saa nne asbh. Hivyo naomba tuendelee na utaratibu wetu wa kawaida.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 Apr 1, 2012 #2 Sure, Maana tunafuatilia updates za Arumeru mtu analeta utani!!
B BLB JF-Expert Member Joined Nov 14, 2011 Posts 382 Reaction score 43 Apr 1, 2012 #3 thanx mkuu, mi nashukuru imepita nikiwa church,,