Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
Ni moja kati ya matangazo boooora kabisa. Hili na lile la mwalimu wa kijijini la Haki Elimu, ni matangazo yaliyoshiba
[emoji23] [emoji23] ilo tu ndo linamtoa povu ivo mana mi nilishaliona mara nyingi kwenye tv!!hilo tu ndio mleta uzi anasema matusi! hahahahahaahah!
Tena hilo analosema mtoa mada sio tusi ni kibwagizo tu ukiwakuta maeneo yao ya biashara wanavyotukanwa unaweza tapika chakula chote kwa uzito wa matusi [emoji2] [emoji2]Tangazo liko sahihi kulingana na kile kinachozungumziwa.Watz huwa hatupendi kuambiwa ukweli na hayo ni maisha ya kina mamantilie wengi wananyanyaswa sana na wateja wao!..KUBALINI UKWELI ILI MJIREKEBISHE.
Aisee huyu kapendeza sananani apoteze muda wa kukuheshimu kwa aina hii![]()