Tangazo from TCU

Tangazo from TCU

Bittah

Senior Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
135
Reaction score
37
Kutoka TCU tangazo kwa umma
Screenshot_20181004-090642.jpg
 
nimepiga mzumbe wakasema liko nje wa uwezo wao wanaotoa namba ni TCU wakaniambia nisubirie na TCU CODE namba sijapata hlf wanasema uulize chuo ulichochaguliwa, ukiwapigia chuoni wanakwambia hawajuwi hilo..yaani Tanzania kila kitu ni kubahatisha bahatisha tu.
 
nimepiga mzumbe wakasema liko nje wa uwezo wao wanaotoa namba ni TCU wakaniambia nisubirie na TCU CODE namba sijapata hlf wanasema uulize chuo ulichochaguliwa, ukiwapigia chuoni wanakwambia hawajuwi hilo..yaani Tanzania kila kitu ni kubahatisha bahatisha tu.[/QUOTE
Vuta waya TCU...waporomoshee mvuaa ya kukereketwa, wanarushiana mpira hali yakuwa muda umeishaa.
 
Wakuuu nilisubiri code toka first selection ila Leo ndo nimepata mungu apewe sifa
 
UDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:

Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.


UDOM FIRST YEAR

Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.

we naye kila thread unaingilia si tunaenda You Dii, kaanzishe thread yako huko.
 
Back
Top Bottom