Tangaza na times fm kwa bei nafuu

Tangaza na times fm kwa bei nafuu

Lysbert

Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
7
Reaction score
4
Tangaza bidhaa yako na times fm kwa kulipia gharama ndogo kabisa kulinganisha na radio nyingine. Times fm 100.5 ina vipindi vizuri vyenye wasikilizaji wengi hivyo ni nafasi nzuri kwani tangazo lako litasikika kwa watanzania wengi. Ni PM kama utakua unahitaji kwa maelekezo zaidi. Asante
 
kwa kulipia gharama ndogo kabisa

samahani kiongozi, hii gharama ndogo ni Tsh au dinar???
kila tangazo naona ni bei nafuu, gharama ndogo au bei sawa na Bure.. wat do you exactly mean?
 
Kama upo serious mwaga Rates per seconds per time category and programs.

Tujue peak hours moderate na low listening tim gharama zikoje, Na kwa kila kipindi price per insertion/ spot.

Am sure uta perform sana fanya hivy mkuu, JF kuna kila mtu na kila kitu.

Mpe hi Ndimbo..
 
samahani kiongozi, hii gharama ndogo ni Tsh au dinar???
kila tangazo naona ni bei nafuu, gharama ndogo au bei sawa na Bure.. wat do you exactly mean?

Tangazo kwenye vipindi vyenye wasikilizaji wengi zaidi, weekday 30secs 88,000. 45secs 114,400. 60secs 140,800 kwa pesa ya kitanzania. Kutokana na kitu unachotangaza utapewa ushauri utangaze kwenye kipindi gani na mda gani. Pia una uhuru wa kuchagua tangazo lako liwe katika kipindi gani.bei zinatofautiana kutokana na kipindi tangazo linaporushwa.
 
Kama upo serious mwaga Rates per seconds per time category and programs.

Tujue peak hours moderate na low listening tim gharama zikoje, Na kwa kila kipindi price per insertion/ spot.

Am sure uta perform sana fanya hivy mkuu, JF kuna kila mtu na kila kitu.

Mpe hi Ndimbo..

WEEKDAY RATES
A+ programs, 30secs 88,000. 45 secs 114,400. 60secs 140,800
A programs, 30secs 72,000. 45secs 93,600. 60secs 115,200
B programs, 30secs 64,000. 45secs 83,200. 60secs 102,400
C programs, 30secs 48,000. 45secs 62,400. 60secs 76,800
Rates in tsh
 
Kama upo serious mwaga Rates per seconds per time category and programs.

Tujue peak hours moderate na low listening tim gharama zikoje, Na kwa kila kipindi price per insertion/ spot.

Am sure uta perform sana fanya hivy mkuu, JF kuna kila mtu na kila kitu.

Mpe hi Ndimbo..

Twilumba asante kwa ushauri
 
Tangazo kwenye vipindi vyenye wasikilizaji wengi zaidi, weekday 30secs 88,000. 45secs 114,400. 60secs 140,800 kwa pesa ya kitanzania. Kutokana na kitu unachotangaza utapewa ushauri utangaze kwenye kipindi gani na mda gani. Pia una uhuru wa kuchagua tangazo lako liwe katika kipindi gani.bei zinatofautiana kutokana na kipindi tangazo linaporushwa.

Sasa nimekuelewa.. Ahsante
 
Back
Top Bottom