Mwl Nyerere alikuwa mjanja sana. Yeye hakujali kuuza jina la nchi ya Tanganyika maana kuna nchi kama Rhodesia ilibadili jina na kuwa Zimbabwe na Zaire ikawa Congo DRC. Hivo yeye alimdanganya Karume akauza nchi!
Zanzibar ni nchi ya kwanza kupokea dini ya kikristo kabla ya nchi zote za Afrika Mashariki na nchi ya kwanza kupokea dini ya kiislam kabla ya nchi zote Afrika ukiondoa zile ambazo raia wake ni waarabu. Ni nchi ya kihistoria na nisingeshangaa kama ingekuwa Dubai ya Afrika kama si kuiuza kwa Tanganyika.
Leo Tanganyika kwa kushirikiana na wazanzibari wachache hawaiachi ipumue wanahakikisha anayeongoza Zanzibar ni yule anayekubalika Dar es Salaam. Aliyefunga ndoa na Ccm, hivi Ccm ni chama cha wazanzibari (itakuwa mada ya siku nyingine).
Zanzibar ni nchi ya kwanza kupokea dini ya kikristo kabla ya nchi zote za Afrika Mashariki na nchi ya kwanza kupokea dini ya kiislam kabla ya nchi zote Afrika ukiondoa zile ambazo raia wake ni waarabu. Ni nchi ya kihistoria na nisingeshangaa kama ingekuwa Dubai ya Afrika kama si kuiuza kwa Tanganyika.
Leo Tanganyika kwa kushirikiana na wazanzibari wachache hawaiachi ipumue wanahakikisha anayeongoza Zanzibar ni yule anayekubalika Dar es Salaam. Aliyefunga ndoa na Ccm, hivi Ccm ni chama cha wazanzibari (itakuwa mada ya siku nyingine).