Character X
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 331
- 382
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.
Pole sana we limjamaa. Kwani we upo nchi ya Zanzibar au Tanganyika coz huo muungano unaotaka uboreshwe ndo wa hizo nchi mbili. Nchi moja ya Zanzibar ipo wazi ila hii Tanganyika ndo kama imezimia na mchakato huu wa katiba ndo unalenga kuizindua ili ijue imeunganishwa na nchi ya Zanzibar na kupata kitu kinachoitwa Tanzania.
Wewe upo Zanzibar au Tanganyika????
Zanzibar hawataki selikali moja ndo mana tunataka tanganyika yetuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Inaelekea umezaliwa mwaka 1990 na hujishughulishi kujua historia ya nchi. Pole sana
mimi niko Nchi inaitwa Tanzania!! upande wa Tanzania Bara,.
Nasema Tanganyika siijui, wala siihitaji,.
Mimi ni mtanzania ninaishi Tanzania bara, na si Tanganyika. Nchi hiyo haipo!!!!
mimi niko Nchi inaitwa Tanzania!! upande wa Tanzania Bara,.
Nasema Tanganyika siijui, wala siihitaji,.
Mimi ni mtanzania ninaishi Tanzania bara, na si Tanganyika. Nchi hiyo haipo!!!!
Viongozi WALAFI wamadaraka wa Zanzibar na wengine wa bara ndio wasiotaka serikali moja, lakini sisi wananchi wa pande zote TUNATAKA NCHI MOJA YENYE SERIKALI MOJA!!!
Kwanini mnatubagua??! Kwanini kutupandia CHUKI????!!
HAPANA! hatuta kubali
utaijua tu.What Is Tanganyika??!??????
.
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.
Hakuna nchi inaitwa Tanzania, ipo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Halafu ukishakubali rekebisho hili, nijibu hii Jamuhuri ilitoka wapi na lini? Halafu la pili, nijibu tarehe 9 December huwa tunaadhimisha uhuru wa nchi gani? Itendee haki akili yako ndugu, hujapewa ili iwe urembo.
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.