Vivaaa "Tanganyika Oct 29"
Mpaka sasa waTanganyika lazima tukubaliane na haya
1) Maandamano yetu yametupa mwanzo mpya , ni rasmi sasa tumekata cheni za hofu juu ya watawala waovu(CCM). Na sasa ni wao wanahofu na sisi na hii itadumu milele
2) Hakuna wakutukomboa isipokuwa sisi wenyewe, namaanisha raia waTanganyika pekee ndio tunaweza kujikomboa na kuitetea ardhi yetu ,pasipokutegemea taasisi yoyote ile hususani JWTZ
3) Damu za WaTanganyika waliofariki na watakaofariki baadae ni lazima zilipwe kwa damu .! Hakuna msamaha, Wala HURUMA wala majadiliano katika hili.
4) Kwakua tumekuwa na mwanzo mzuri wa mapambano, katika vita ambayo tumepigana kwa moyo na mwili bila silaha ya moto kwa kufuata misingi halali ya kikatiba kupitia haki ya maandamano, lakini bado adui yetu amelazimika kuomba msaada toka kwa waovu wenzake. Ni sababu tosha ya sisi kutofadhaishwa na matokeo ya maamuzi yetu..Tuvae moyo wa ujasiri na kusonga mbele zaidi!!