amu dia.. Pole kwa mara nyingine.. Niwie radhi sikiweza kushiriki ipasavyo kutokana na kuchelewa kupata taarifa na mambo yaliyokuwa yananikabili. Btw i was happy to see you
Karibu amu, tuko pamoja. Na mungu akipenda jmos tutakuwa wote tena.
Nyie watu mnafahamu ninavyowamiss lakini!!? Mbona mnanifanyia hivyo!!?
Nyie watu mnafahamu ninavyowamiss lakini!!? Mbona mnanifanyia hivyo!!?