Tanga Vodacom and Airtel sites

Tanga Vodacom and Airtel sites

kingcomrade

Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
7
Reaction score
0
kama kuna anaefahamu mkoa wa tanga kuna site ngapi za vodacom na airtel na ngapi ni 2G na 3G katika kila wilaya. naomba msaada plz kama kuna mwenye info zote hizo nasaka ajila kampuni moja ya mawasiliano sasa kabla sijaenda huko tanga wamenitumia niende nainfo hizo kama challenge.mimi niko dodoma ila nilipeleka cv yangu TANGA kwenye hiyo kampuni
 
Wamekuuliza swali la kukukomoa tu mkuu.
 
kama kuna anaefahamu mkoa wa tanga kuna site ngapi za vodacom na airtel na ngapi ni 2G na 3G katika kila wilaya. naomba msaada plz kama kuna mwenye info zote hizo nasaka ajila kampuni moja ya mawasiliano sasa kabla sijaenda huko tanga wamenitumia niende nainfo hizo kama challenge.mimi niko dodoma ila nilipeleka cv yangu TANGA kwenye hiyo kampuni

Swali gumu,ila lisikukatishe tamaa,site za voda na airtel katika mkoa,zinaweza kuwa nyingi sana,kama 60 kwa kila kampuni,3G mara nyingi inapatikana wilayani,pembezoni na katika wilaya ambazo hazina mzuguko mkubwa wa pesa na idadi ya watu ni mtandao wa 2G,Kama Tanga mjini unaweza kukuta karibu site zote sanasana za voda ni 3G,

Kwa uzoefu wangu na kazi za telecom,hawawezi kukunyima kazi kwa kushindwa kuja na jibu sahii la swali hilo,ila ni changamoto,jipe moyo kaka,hiyo kazi umepata,kama hauna driving licence,tafuta ndio utaona raha ya kazi hiyo,kila la kheri
 
Back
Top Bottom