Yaani air tanzania na tanesco wanamdhalilisha kweli mnyama wa taifa letu, yaani siku hizi wanamwita twiga mzembe, bora wabadilishe hiyo nembo yao naona uyo nyoka anamfaa twiga mzembe tanesco na airtanzania wabadilishe waweke mnyama mwingine asiyeweza hata kuruka kama ......... Malizia