TANESCO waogopa kauli za wagombea

TANESCO waogopa kauli za wagombea

Kwani Kinondoni Mkwajuni ipo nje ya Dar? Hapa umeme umekatika toka asubuhi.
 
+49 159 04181859

👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿
Hiyo ni number whatsapp ya "DW" ujerumani,wanafanya utafiti wa nani anakubalika urais Tanzania.

👇🏾👇🏾👇🏾save hiyo namba na tuma Neno LOWASSA.

Wenzetu wa chama cha mapinduzi CCM wanahamasishana kwa wingi kupiga kura kwa njia ya WhatsApp.
Hivyo ukiwa kama mwana UKAWA kura yako ni muhimu sana.

Hizo ni sawa na kura za kili music awards.subirini 25😱ctober mafisadi na washenga watalala mapema
 
Hawajali kitu hawa kwetu umeme walikata badae wakarudisha
 
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]

Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia Ccm John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara,

Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine

Mtoni kijichi umekatika sasa hivi.
 
Mnaendeshwa na matukio nyinyi bara**li kumbukeni kauli za MSEMAJI WA TANESCO kweli hamjitambui ndio maana ata EL anawaonea huruma anasema elimu elimu! ila mnastahili HAPA KAZI TU! KUTOKOMEZA UZEMBE WA KIFIKRA! welcome BWM words! MALOOOOOO...
 
Umekatika huku kwetu baada ya magufuri kumaliza speech yake
 
Arusha waliondoka nao,tunasubiri tar25 Oct.
 
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]

Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia CCM John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara.

Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine.[/


Gas siyo issue tena
 

Attachments

  • Screenshot_2015-10-07-20-46-24.png
    Screenshot_2015-10-07-20-46-24.png
    7.9 KB · Views: 76
Back
Top Bottom