youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]
Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia CCM John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara.
Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine.
Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia CCM John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara.
Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine.