TANESCO waogopa kauli za wagombea

TANESCO waogopa kauli za wagombea

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]

Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia CCM John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara.

Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine.
 
tanesco wanawahujumu sana watanzania. umeme unakatwa hovyo sana hasa wakati wa mikutano ya wapinzani ikionyeshwa live...
 
Arusha ulikuwa jana Pombe ilipokuwa hapa leo kaondoka nao kapeleka Kilimanjaro
 
Hapa hapa Dar es Salaam jana usiku jmekatika mara mbili!
 
Bado Morogoro niliko sasa hivi watu hawana umeme.Ila haijalishi kama wanarudisha au hawarudishi,they will have to face the music kwa kuwa wamewatesa watanzania kwa muda mrefu mno.Ila mwenye ubavu wa kuwashughulikia hawa ni Lowassa tu.Magufuli hawezi kwa sababu he is part of the problem.Hela za campaign na uchaguzi zingine si huwa wanachota humo.Huwezi kumwajibisha mtu anayejua uovu wako!
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]

Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia Ccm John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara,

Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine
 
Kwa siku ya pili mfululizo nashuhudia umeme kutokukatika tangu zitolewe kauli za wagombea wawili wenye nguvu [Magufuli & Lowassa]

Lowassa amewatahadharisha kuwa wajiandae kuwajibika pindi atakapokuwa madarakani, nae mgombea Urais kupitia Ccm John Pombe Magufuli amewapa onyo kuhusu kukatika mara kwa mara,

Tangu jana naona Dar es salaam wamerudisha umeme, sijui mikoa mingine

huku umeme ukiwaka ujue magufuri yuko live mahali. leo yupo live moshi ndo maana umerudishwa saa 16:20 tangu ulipokatwa 05:00hrs
 
Changombe dar wamekata,hujuma kubwa kwa wananchi wasione mikutano ya Ukawa mikoani.
 
Ukiona umeme upo ujue ccm wanarusha mambo yao live
 
Back
Top Bottom