KERO TANESCO Ukonga mnazingua

KERO TANESCO Ukonga mnazingua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Intricate

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
395
Reaction score
1,232
TANESCO mnazingua sana. Mmekata umeme baadhi ya maeneo ya Kitunda toka jana saa 3 asubuhi na mpaka leo muda huu hamjarudisha.

Mkipigiwa simu namba zenu za hotline, hakuna jibu la maana mnatoa.

Mnatarajia watu waishi vipi bila ya umeme kwa masaa 24?
 
Wanajua mama yao yupo bize na kampeni, hivyo hakuna wa kuwafokea, juzi kati hapo napo nimesikia luku imepanda.
 
Back
Top Bottom