Tanesco songea tunahitaji umeme

Tanesco songea tunahitaji umeme

kistwangara

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
656
Reaction score
94
wanajamvi nimeona ni vema nilete huu uzi baada ya kufanya jitihada nyingi za kutaka kujua ukweli wa kukatiwaumeme kila uchwao bila mafanikio.

kimsingi wakazi wa wilaya ya songea tunatumia umeme wa TANESCO wa jeneretas.. sasa kuna miezi kadhaa tumekuwa tunakatiwa umeme toka asubuh hadi saa 5 usiku. nilipokuwa nafuatilia suala hili nilikutana na vikwazo kwa kuwa ulikuwa ni uchunguzi wangu binafsi, lakini kuna vijana kadhaa wanaofanya kazi ndani ya zile mashine walisema..

kuna wakubwa huwa wanatoa amri ya kufungua baadhi ya vipuli kwenye zile mashine na kutolea taarifa za kuwa mashine mbovu ila mafund wanaendelea na matengenezo. wakati wakifanya hayo lengo ni kutaka kukwapua pesa kupitia mafuta alisema kijana huyo ambaye hajataka jina lake litajwe.

anaongeza na kusema,ndugu yangu we hujiulizi mwaka jana umeme ulipokuwa unakatika vile. watu wakaandamana mpaka pale ofisin mbona umeme ulikuwa unawaka muda wote! kwa hiyo na sasa mkitaka umeme usikatike lazima muandamane, anasema. maana hata sisi hatupendi haya.
 
wanajamvi nimeona ni vema nilete huu uzi baada ya kufanya jitihada nyingi za kutaka kujua ukweli wa kukatiwaumeme kila uchwao bila mafanikio.

kimsingi wakazi wa wilaya ya songea tunatumia umeme wa TANESCO wa jeneretas.. sasa kuna miezi kadhaa tumekuwa tunakatiwa umeme toka asubuh hadi saa 5 usiku. nilipokuwa nafuatilia suala hili nilikutana na vikwazo kwa kuwa ulikuwa ni uchunguzi wangu binafsi, lakini kuna vijana kadhaa wanaofanya kazi ndani ya zile mashine walisema..

kuna wakubwa huwa wanatoa amri ya kufungua baadhi ya vipuli kwenye zile mashine na kutolea taarifa za kuwa mashine mbovu ila mafund wanaendelea na matengenezo. wakati wakifanya hayo lengo ni kutaka kukwapua pesa kupitia mafuta alisema kijana huyo ambaye hajataka jina lake litajwe.

anaongeza na kusema,ndugu yangu we hujiulizi mwaka jana umeme ulipokuwa unakatika vile. watu wakaandamana mpaka pale ofisin mbona umeme ulikuwa unawaka muda wote! kwa hiyo na sasa mkitaka umeme usikatike lazima muandamane, anasema. maana hata sisi hatupendi haya.

Tanesco jamani watu wasongea sawa kigamboni tumekosa mini? Kigamboni jamani kunanini au kuna mchezo wa wizi wa mafuta jamani?
 
Tutaweza kununua luku? Kwani hivi sasa tunatumia nini! Tanesco watwambie kwa nini wanakata umeme bila kutoa maelezo yeyote. Huo ni wizi bwana shackshake
 
Tanesco jamani watu wasongea sawa kigamboni tumekosa mini? Kigamboni jamani kunanini au kuna mchezo wa wizi wa mafuta jamani?

AKHANT, nikwambie tanesco ni wezi bora hata huko wenu mnatumia umeme wa grid ya taifa. huku tunatumia wa majenereta yaani nafuta nadham wanakwiba.
 
Back
Top Bottom