Nilikua kwa jamaa moshi tangu juzi, nyumba yake inatazamana na transfoma ya tanesco, fuse ikakatika tangu ya laini ya nyumba yake.akaripoti, tangu juzi kurudishia fuse imekuwa kazi. Mpaka naondoka leo jioni kimya, wanajibu mafundi watakuja...still unaona gari yao ya dharura inaranda barabarani. Siju watafika lini