TANESCO mnaudhi kwa kweli

G'taxi

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
6,565
8,427
Maeneo ya Usagara jijini Mwanza toka asubuhi saa mbili hakuna umeme mpaka saa moja hii za usiku

Aisee wakati mwingine kwa kweli shirika lenu inabidi lipate mbadala kama ilivyotokea kwa TTCL japo si vyema kusema hivi lakini mnatuchosha sana na kutukosea,sometimes giza ndiyo linaingia nyie mnakata umeme,muda ambao tunahitaji mwanga na utulivu baada ya kazi

Fanyeni kutujali na muache kutudharau maana hata kama kuna tatizo la kiufundi muwe mnatoa taarifa lakini pia ifikie muwe na ziada ya mitambo yenu ili mkipata hitilafu mnawasha spare bwana.yani inakera sana sana.
 
Kama kuna shirika limejaa wazembe nawafanya kazi kwa mazoea ni Tanesko. Hapa Mzee Baba angefunga macho apitishe fagio la chuma. Bora uajiri hata wageni wa nje kuliko watanzania wazembe.
Yani inakera sana jamaa..now tena saa mbili hii umekrudi na kukaa dakika 20 umekata,hawa hawafai kwa kweli.ifikie tu mkuu wetu mpambanaji awafagie au aluhusu mashirika mengine yaje yatoe huduma
 
Mie nataka kufunga umeme savei kaniletea mapicha picha ya rushwa mpaka nimekata tamaa na hii ni mara 3 mpaka nimekata tamaa pale magomeni dar es salaam Tanzania ya viwanda inakwamishwa na watendaji
 
Mie nataka kufunga umeme savei kaniletea mapicha picha ya rushwa mpaka nimekata tamaa na hii ni mara 3 mpaka nimekata tamaa pale magomeni dar es salaam Tanzania ya viwanda inakwamishwa na watendaji
 
Maeneo ya Usagara jijini Mwanza toka asubuhi saa mbili hakuna umeme mpaka saa moja hii za usiku

Aisee wakati mwingine kwa kweli shirika lenu inabidi lipate mbadala kama ilivyotokea kwa TTCL japo si vyema kusema hivi lakini mnatuchosha sana na kutukosea,sometimes giza ndiyo linaingia nyie mnakata umeme,muda ambao tunahitaji mwanga na utulivu baada ya kazi

Fanyeni kutujali na muache kutudharau maana hata kama kuna tatizo la kiufundi muwe mnatoa taarifa lakini pia ifikie muwe na ziada ya mitambo yenu ili mkipata hitilafu mnawasha spare bwana.yani inakera sana sana.
Tumepokea taarifa mpendwa mteja wetu tutakupatia mrejesho kamili wa eneo husika
 
Kama kuna shirika limejaa wazembe nawafanya kazi kwa mazoea ni Tanesko. Hapa Mzee Baba angefunga macho apitishe fagio la chuma. Bora uajiri hata wageni wa nje kuliko watanzania wazembe.
Tunaomba tukusikilize mpendwa mteja wetu
 
Mie nataka kufunga umeme savei kaniletea mapicha picha ya rushwa mpaka nimekata tamaa na hii ni mara 3 mpaka nimekata tamaa pale magomeni dar es salaam Tanzania ya viwanda inakwamishwa na watendaji
Wilaya, eneo namba yako ya simu mpendwa mteja wetu.Tupo kukusikiliza na kukuhudumia
 
Jitahidini kwa kweli,wakati mwingine mtu unakua na jambo muhimu sana linalotegemea nguvu ya umeme lakini umeme unakata,kibinadamu inakera sana aisee. au kipindi kingine umeme unakuwepo mchana kutwa inapofika usiku muda ambao ndoyo tunahitaji mwanga umeme unakata.ni afadhari kujitahidi kua na mbadala wa mitambo kama ziada kwa pale tu panapotokea hitilafu mnatumia ziada ili wateja tusikose huduma.
Tumepokea taarifa mpendwa mteja wetu tutakupatia mrejesho kamili wa eneo husika

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mimi nimechoka na hawa watu sijui wana matizo gani mtu kuja kufanyiwa tu survey wanataka uwape hela,unawaambiwa utapigiwa simu waje kufanya survey unaweza hata ukakakaa hata miezi 6 wasije.Hawajui kwamba kwa koungeza idadi ya wateja nala shirika litakuwa linaongeza income lakini wao mteja wanamuona kama mapulizo.Bila shaka humu kumejaa watu ambao vichwa vyao havifanyi kazi magufuli ndio anawatafuta watu wapumbavu kama hawa
 
Mimi nimechoka na hawa watu sijui wana matizo gani mtu kuja kufanyiwa tu survey wanataka uwape hela,unawaambiwa utapigiwa simu waje kufanya survey unaweza hata ukakakaa hata miezi 6 wasije.Hawajui kwamba kwa koungeza idadi ya wateja nala shirika litakuwa linaongeza income lakini wao mteja wanamuona kama mapulizo.Bila shaka humu kumejaa watu ambao vichwa vyao havifanyi kazi magufuli ndio anawatafuta watu wapumbavu kama hawa
Pole sana mpendwa mteja wetu.Je umeomba umeme kwa jina gani? Namba yako ya simu na wilaya husika tafadhali
 
Tatizo nililo wahi kulalamika sana, leo tarehe 29/11/2023 pia umeme umekata hapa Usagara mchana, umekuja kwa muda mmekata tena mpaka sasa ni saa mbili kasoro, yaani muda ambao tunahitaji mwanga Tanesco mnakata umeme, hii inakera zaidi ya kukera, Shirika hili linahitaji kile kilicho tokea kwa TTCL, leo hii hakuna shida ya mawasiliano, ndivyo Tanesco inavyo taka kwa sasa, Serikali iruhusu mashirika mengi tu hata ya wageni wawekezaji waje, tufunge waya za mashirika mengi mengi tu majumbani, Tanesco ikizengua tunawasha umeme wa shirika lingine, huu ni upuuzi sana, huduma ya mwanga inakatwa usiku? UPUMBAVU huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom