maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Nyie TANESCO haya mambo ndiyo maana mnatumbuliwa haiwezekani kwa mwezi mzima kila siku mnakata umeme mara nne na hata zaidi na tena hamna taarifa yoyote iliyotolewa kuashiria tatizo maeneo ya Mbezi makabe.
Najua mnapita humu na hata Mawaziri husika wanapita humu. Kuweni waungwana kama kuna tatizo mrekebishe msiwe kama TANESCO ya Shinyanga wanakata nyaya wanaweka juu ya bati then kijana wa watu ananaswa anapoanika nguo na kupoteza maisha.
Uzembe wenu ni mwingi na bado mnafanya kazi kwa mazoea sana licha ya kuwa mnatumbuliwa.
Najua mnapita humu na hata Mawaziri husika wanapita humu. Kuweni waungwana kama kuna tatizo mrekebishe msiwe kama TANESCO ya Shinyanga wanakata nyaya wanaweka juu ya bati then kijana wa watu ananaswa anapoanika nguo na kupoteza maisha.
Uzembe wenu ni mwingi na bado mnafanya kazi kwa mazoea sana licha ya kuwa mnatumbuliwa.