Akili Sina
JF-Expert Member
- Jan 18, 2018
- 301
- 2,218
Wakati hapa chanika kitongoji cha kidugalo tukililia umeme sababu nguzo hazijafika, nyie mmekuja kumwaga minguzo hapa karibu na Masai wawili tena kwenye maji zinaozea tu hapa miaka inaenda.
Kama vipi njooni mzichukue mpelekee wengine wenye shida maana sisi mmetususa, zikiozea hapa itakuwa ni uhujumu uchumi na kuchezea kodi za wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vipi njooni mzichukue mpelekee wengine wenye shida maana sisi mmetususa, zikiozea hapa itakuwa ni uhujumu uchumi na kuchezea kodi za wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app