majiyachupa
Member
- Jul 5, 2011
- 57
- 11
Hongera sana tanesco kwa kukata umeme kwa muda wa masaa 24 sasa, ongezeni yawe masaa 116 ndo itakua poa maana huku tushazoea kukatiwa umeme hovyo hovyo
Kidumu chama cha mapinduzi
Tanesco oyee
Jimbo la kigamboni oyeee
Kidumu chama cha mapinduzi
Tanesco oyee
Jimbo la kigamboni oyeee