Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Takribani siku mbilli mfululizo kumekuwa na ukatikaji wa OVYO wa umeme na jambo la kushangaza hakuna maelezo yoyote yale kutoka TANESCO!
Kwa siku ya leo pekee umeme umekatika na kurudi zaidi ya mara kumi !!!...
Naongelea maeneo ya kuanzia TEGETA mpaka Bunju ...
Kama kuna m-JF anayefanya kazi TANESCO, tafadhali tunaomba utujuze KULIKONI?
Kwa siku ya leo pekee umeme umekatika na kurudi zaidi ya mara kumi !!!...
Naongelea maeneo ya kuanzia TEGETA mpaka Bunju ...
Kama kuna m-JF anayefanya kazi TANESCO, tafadhali tunaomba utujuze KULIKONI?