Mimi mwananchi wa kawaida nimesikitshwa na kitendo cha hawa wakuu kulazimisha kununua umeme wa tariff one angali kwa zaidi ya miaka miwili nimekua natumia tariff 4. Kwa zaidi ya miaka 2 umeme wa elfu tano hutumika zaidi ya mwezi. Cha kishanhaza nimeambiwa kuna uhakiki kwa hiyo lazima kwa miezi mitatu niishi kwa tariff 1 mpaka watanhaze utaratibu mwingine.
Huu naona ni mpango wa kuongeza mapato ili hali wananchi kijijini wanateseka. Kama ni kujua matumizi halali ya mwananchi si waangali manunuzi ya kila mwezi.
Tanesco wamekuwa TRA nyingine au?
Halafu dada wa mapokezi ana kauli mbaya sana. Anaongea na mteja kama vile sistahili kusikilizwa au kuelekezwa. Kila unachouliza ueye majibu yake ni Subiri matangazo.
Huu naona ni mpango wa kuongeza mapato ili hali wananchi kijijini wanateseka. Kama ni kujua matumizi halali ya mwananchi si waangali manunuzi ya kila mwezi.
Tanesco wamekuwa TRA nyingine au?
Halafu dada wa mapokezi ana kauli mbaya sana. Anaongea na mteja kama vile sistahili kusikilizwa au kuelekezwa. Kila unachouliza ueye majibu yake ni Subiri matangazo.