katika biashara inayolipa ni hii ya kuzalisha na kusambaza umeme, ukichukua familia ya kawaida inatumia kwh 100 kwa mwezi sawa na shs 36000 ukijumlisha na service charge ni shs 42,000/= kwa mwezi, ukiwa na mtambo kama wa iptl unauhakika wa kupata bil 42 kwa mwezi, wakati gharama za uendeshaji ni bil 4 tu! na hapo unatumia diesel.
kule vijijini watu walianza kusambaza umeme kwa kutumia majenereta ya 15kva, vijiji vyote vilivyoanza hii biashara vimepelekewa umeme wa muhongo tena unaunganishiwa kwa elfu 30 tu, lengo ni kuwapiga vita hawa wajasiliamali wa umeme.