wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
pamoja na kutoa huduma mbovu kwa mgao na bei juu.
pia ni wakala wa ufisadi ktk iptl, richmond, dowans, escrow.
pia ni wakala wa ufisadi ktk iptl, richmond, dowans, escrow.
Hao jamaa wanatutoza shilingi 6,734 kwa kila mwezi, kwa kile wanachokiita service charge, ambapo ukizidisha mara 12, unakuta kila mteja wa TANESCO anatozwa shilingi 80,808 kwa mwaka!pamoja na kutoa huduma mbovu kwa mgao na bei juu.
pia ni wakala wa ufisadi ktk iptl, richmond, dowans, escrow.