TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

TANESCO itafutiwe mshindani wa kibiashara?

ShyaRuwa

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
8,252
Reaction score
14,793
Wakuu wa Jukwaa heshima kwenu!

Moja kati ya nguzo muhimu za maendeleo ni ushindani.Hata mataifa yaliyoendelea ni yale yaliyohubiri sera za ushinadi.Ushindani unaongeza mbio za maendeleo ya anayekimbiza na anayekimbizwa.

Ukiangalia shirika la uzalishaji na ugavi wa umeme nchini halina mshindani, linaendeshwa ki-monopoly mno. Haishangazi kuona linagubikwa na kashfa lukuki za kifisadi huku likitoa huduma kwa kusuasua kwa wateja wake wachache lililonao.TANESCO ni tofauti sana na makampuni mengi yenye washindani kama ya mitandao ya simu za mikononi, ya usafirishaji, n.k.

Sasa nauliza je kuna uwezekano wa kuwepo makampuni ya kushindana na TANESCO kwenye biashara ya kuzalisha na kusambaza umeme nchini?

Je kama ushindani utatokea, pata kuwepo na uafadhali kwa mtumiaji wa umeme kama vile umeme wa uhakika kwa bei nafuu?.....Au hakuna unafuu utakaopatikana zaidi ya huu wa TANESCO?
 
Moja ya mambo ninayoshangaa toka hilo shirika ni matumizi mabaya ya materials kama waya na nguzo, kuna maeneo unakuta zimewekwa nguzo utitiri na waya nyingi, ukiuliza kwanini wanakwambia hii ni line ya mradi na nyingine ni line ya Tanesco,

Kuna maeneo waya zimetepeta mita 2.5 toka ardhini unawapigia simu waje waziinue, wanakuja na Land Cruiser yenye ngazi wanachungulia wanaondoka

Kuna maeneo unakuta waya zimeshika kwenye miti hai, ukiwaambia wanakwambia mpigie meneja as if nasi ni sehemu ya ajira yao, sina hakika kama wafanyakazi wa hilo shirika wamefundishwa kurespond kwenye dharura.

Mbaya zaidi, ukiwariport Makao makuu ndo kwanza wanakwambia nenda ofisi za Mkoa wako ambako ndiyo huko wameuchuna kuja kurekebisha matatizo

Nitatuma picha nikisettle
 
Kuwe na ushindani kama ilivyo kwenye mitandao ya simu. Yani itakuwa poa sana mkuu.
Ndio point yangu ilipo Mkuu.Yangekuwepo makampuni kama matatu hivi ya umeme, mgao wa umeme ungeisha moja kwa moja, na bei ya umeme ingekuwa nafuu.
 
Moja ya mambo ninayoshangaa toka hilo shirika ni matumizi mabaya ya materials kama waya na nguzo, kuna maeneo unakuta zimewekwa nguzo utitiri na waya nyingi, ukiuliza kwanini wanakwambia hii ni line ya mradi na nyingine ni line ya Tanesco,

Kuna maeneo waya zimetepeta mita 2.5 toka ardhini unawapigia simu waje waziinue, wanakuja na Land Cruiser yenye ngazi wanachungulia wanaondoka

Kuna maeneo unakuta waya zimeshika kwenye miti hai, ukiwaambia wanakwambia mpigie meneja as if nasi ni sehemu ya ajira yao, sina hakika kama wafanyakazi wa hilo shirika wamefundishwa kurespond kwenye dharura.

Mbaya zaidi, ukiwariport Makao makuu ndo kwanza wanakwambia nenda ofisi za Mkoa wako ambako ndiyo huko wameuchuna kuja kurekebisha matatizo

Nitatuma picha nikisettle
Hiki ndicho kinachotokea kutokana na ukosefu wa washindani.

Ukikosa mshindani utafanya kazi kizembe na kwa kiwango cha chini.

Kama pangekuwepo na makampuni mengi, TANESCO wangecharuka na kujitahidi. Hebu imagine kama tungekuwa na Kampuni moja ya mtandao wa simu, gharama za kutumia simu si zingekuwa juu sana?
 
Serikali ikaribishe na kuandaa mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuleta ushindani kwa hawa jamaa ambao tangu miaka nenda rudi mpaka leo mgao bado upo.
 
Mashirika ya umeme yakiwa mengi itakuwa nafuu kwetu ss watu wa kawaida maana hata gharama zitapungua na huduma zitakuwa safi.
 
Mashirika ya umeme yakiwa mengi itakuwa nafuu kwetu ss watu wa kawaida maana hata gharama zitapungua na huduma zitakuwa safi.
Ndio hivyo Mkuu, hebu vuta picha kama tungekuwa na kampuni moja ya usafirishaji, si watu wangepangiwa siku na muda wa kufanya safari zao?.....Si ingechochea umasikini sana?
 
Kutopatikana ushindani kama vile makampuni ya simu kumewafanya tanesco waendeleze ubabe na kiburi juu....wako wapi washindani waje wawaondoe jeuri hawa watu?..tanesco ni jipu....kwa mtindo huo ni heri tumiliki solar kwenye nyumba zetu no way.......
 
Kutopatikana ushindani kama vile makampuni ya simu kumewafanya tanesco waendeleze ubabe na kiburi juu....wako wapi washindani waje wawaondoe jeuri hawa watu?..tanesco ni jipu....kwa mtindo huo ni heri tumiliki solar kwenye nyumba zetu no way.......
Ndio maana nimeuliza, kuna uwezekano wa kuwepo kwa makapuni ya kushindana na TANESCO?
 
Ndio maana nimeuliza, kuna uwezekano wa kuwepo kwa makapuni ya kushindana na TANESCO?

Uwezekano upo sana mkuu! Ushauri wangu kwa Serikali " selikali ifanye bidii kuwakaribisha wawekezaji kwa nia moja", utaona hawa tanesco/wenye kiburi kama hawatashusha bei...angalia makampuni ya simu ushindani kwenda mbele ukiona mtandao flani gharama zimepanda unahamia mtandao mwingine ni raha sana, imewafanya hata wale wa vijijini wasiokua na uwezo wa kumiliki simu waweze kumiliki, unaona raha sasa ya makampuni haya ya simu.....hawa tanesco ni jipu....
 
Wakuu wa Jukwaa heshima kwenu!

Moja kati ya nguzo muhimu za maendeleo ni ushindani.Hata mataifa yaliyoendelea ni yale yaliyohubiri sera za ushinadi.Ushindani unaongeza mbio za maendeleo ya anayekimbiza na anayekimbizwa.

Ukiangalia shirika la uzalishaji na ugavi wa umeme nchini halina mshindani, linaendeshwa ki-monopoly mno. Haishangazi kuona linagubikwa na kashfa lukuki za kifisadi huku likitoa huduma kwa kusuasua kwa wateja wake wachache lililonao.TANESCO ni tofauti sana na makampuni mengi yenye washindani kama ya mitandao ya simu za mikononi, ya usafirishaji, n.k.

Sasa nauliza je kuna uwezekano wa kuwepo makampuni ya kushindana na TANESCO kwenye biashara ya kuzalisha na kusambaza umeme nchini?

Je kama ushindani utatokea, pata kuwepo na uafadhali kwa mtumiaji wa umeme kama vile umeme wa uhakika kwa bei nafuu?.....Au hakuna unafuu utakaopatikana zaidi ya huu wa TANESCO?
Sina hamu na hao Tanesco, kwangu nawaona kama wapiga dili tu,takribani miezi miwili sasa tangu nilipie umeme na sihitaji nguzo hats moja lakini hadi Leo hawajakuja kunifungia umeme.
Kinachoonekana wanaandaa mazingira ya mm kutoa rushwa,na mm nimesema sitoi hats mia kama hawataki kuja kufunga wacha wakae.
[HASHTAG]#Sipendaji[/HASHTAG] Ujinga na utapeli hasa ktk kipindi hiki ambacho pesa imeota mbawa!!
 
Sina hamu na hao Tanesco, kwangu nawaona kama wapiga dili tu,takribani miezi miwili sasa tangu nilipie umeme na sihitaji nguzo hats moja lakini hadi Leo hawajakuja kunifungia umeme.
Kinachoonekana wanaandaa mazingira ya mm kutoa rushwa,na mm nimesema sitoi hats mia kama hawataki kuja kufunga wacha wakae.
[HASHTAG]#Sipendaji[/HASHTAG] Ujinga na utapeli hasa ktk kipindi hiki ambacho pesa imeota mbawa!!
Hahahaaaa..... Kweli hupendi ujinga Mkuu..... Wanazingua sababu wapo peke yao, yangekuwepo makampuni walau matatu hivi, wangejifunza somo..... Wasingesumbua namna hii.
 
Toeni kero zenu kwa kuainisha wapi mlipo(maeneo) ili tuwafungie safari hao wazinguaji!. Hatutaki ujinga enzi za Hapa kazi tu.
 
Wakiruhusu mashirika binafsi kuingia kwenye biashara ya kusambaza umeme tanesco watakua kama TTCL ilivo kwenye mitandao ya simu. Wataishia kupeleka umeme kwenye nyumba na ofisi za serekali tu.
 
Wakuu wa Jukwaa heshima kwenu!

Moja kati ya nguzo muhimu za maendeleo ni ushindani.Hata mataifa yaliyoendelea ni yale yaliyohubiri sera za ushinadi.Ushindani unaongeza mbio za maendeleo ya anayekimbiza na anayekimbizwa.

Ukiangalia shirika la uzalishaji na ugavi wa umeme nchini halina mshindani, linaendeshwa ki-monopoly mno. Haishangazi kuona linagubikwa na kashfa lukuki za kifisadi huku likitoa huduma kwa kusuasua kwa wateja wake wachache lililonao.TANESCO ni tofauti sana na makampuni mengi yenye washindani kama ya mitandao ya simu za mikononi, ya usafirishaji, n.k.

Sasa nauliza je kuna uwezekano wa kuwepo makampuni ya kushindana na TANESCO kwenye biashara ya kuzalisha na kusambaza umeme nchini?

Je kama ushindani utatokea, pata kuwepo na uafadhali kwa mtumiaji wa umeme kama vile umeme wa uhakika kwa bei nafuu?.....Au hakuna unafuu utakaopatikana zaidi ya huu wa TANESCO?
Ishindane na nan akati ndo sehem ya kupigia pesa za kutusaidia kwenye kampeni na mahemezi ya paris
 
Wakiruhusu mashirika binafsi kuingia kwenye biashara ya kusambaza umeme tanesco watakua kama TTCL ilivo kwenye mitandao ya simu. Wataishia kupeleka umeme kwenye nyumba na ofisi za serekali tu.
Kwenye ushindani ukishindwa kushindana lazima ufe...... Struggle for the fittest.
 
Toeni kero zenu kwa kuainisha wapi mlipo(maeneo) ili tuwafungie safari hao wazinguaji!. Hatutaki ujinga enzi za Hapa kazi tu.
Mnataka kusema hamzifahamu hizo kero ?

Hamjawahi kuletewa malalamiko na mkayapuuza ?
 
Yale yale ya ufisadi siyo ?
Wenje kuna kipindi alishauri kitu kama hivyo bungen alipigwa vita na kijan mpaka akaomba po lakin ilikia kwa nia njema na maendeleo ya taifa lakin kwa vile nchi imejaa diri ndo ivo ilo ni sawa na fao la kujitoa
 
Back
Top Bottom