Hii ndio Tanzania sio huko hadi Mwanza hali ni hiyo hiyo
Heeh..! Kuwajua wasanii wa dsm na kuwaacha wa mwanza kumbe huijui baharii..!
sio huko tu hata mbeya maeneo ya uyoleNi mwezi sasa kumekuwa na tabia ya umeme kukatika kati ya saa 19:30 - 20:15 nakurudi kati ya saa 21:30 -22:50 huku maeneo ya mbagala kirungure na maeneo ya jirani na hapa ,Tanesco tatizo ni nini.
Kumbe usipoishi Dar unakua hupajui Dar khaa