Tamu za Numbie

Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesa
. Unavyo rudi nipitie K9
Yaaani huwa unapita kwenye comments kimyakimya hata ulaiki πŸ˜¬πŸ˜¬πŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎ
 
Happy easter ankoo
Pilau halijabaki nije?hata ukoko nakula

Kesho watoto shule,pasaka imeahirishwa hadi pale ndugu zetu watakapo maliza mfungo. Undugu wetu sio wa kukutana barabarani ujue... Naja huko idd El fitr
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Anko bana
Mambo ya kulaiki kwenye mazingira kama yale huwa yanamnyima uhuru wa kujiachia mlaikiwa.
Hata Esta akiwa kwenye ligi zake huwa silaiki kabisa.
Mpendwa ulipo nipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…