Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku NgalaMpendwa kwema? Heri ya pasaka.
Usinisahau Id
Manina zenu BK, sambusa za senene?View attachment 1264333
View attachment 1285645
Inaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
Ngala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku Ngala
πππNimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usikuπ€ͺNgala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?
Nimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usiku
Ila Ankoo why umeniumbua jukwaani π¬π¬π¬πππ
Wasalimie sana huko, itakuwa macho yangu makengeza
Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesaIla Ankoo why umeniumbua jukwaani
Yaaani huwa unapita kwenye comments kimyakimya hata ulaiki π¬π¬ππΎππΎAnkoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesa. Unavyo rudi nipitie K9
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basiNaona dada ana mafua
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basi
Happy easter ankoo
Pilau halijabaki nije?hata ukoko nakula