......tamu lakini inauma

......tamu lakini inauma

QDS

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
5
Reaction score
2
Jamaa alikuwa anapiga story na baba yake,

Mtoto:baba me nataka kuoa

Baba:vizuri mwanangu,vipi umeshapata mchumba?

Mtoto:ndio

Baba:unataka kumuoa nani?

Mtoto:nataka kumuoa bibi

Baba:ha! Yani umuoe mama yangu?

Mtoto:ndio baba mbona we umemuoa mama yangu

Duuu kusikia hivyo mshua akachoka!!
 
Jamaa alikuwa anapiga story na baba yake,

Mtoto:baba me nataka kuoa

Baba:vizuri mwanangu,vipi umeshapata mchumba?

Mtoto:ndio

Baba:unataka kumuoa nani?

Mtoto:nataka kumuoa bibi

Baba:ha! Yani umuoe mama yangu?

Mtoto:ndio baba mbona we umemuoa mama yangu

Duuu kusikia hivyo mshua akachoka!!
Deja vu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom