Madenge Origino
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,847
- 1,096
uvccm ni genge la wahuni. hivi huyu aliyetoa hili tamko ni chotara ama mweusi?
Mkuu huyu anaonesha kama ni Chotara wa Kingoni na si Mngoni Halisi. hah hahha
uvccm ni genge la wahuni. hivi huyu aliyetoa hili tamko ni chotara ama mweusi?
noma sana binamu eti wanasema.....eti wamelishwa maneno na wapinzani...hahahahahHalafu nawewe km chotara chotara fulan hiv, teh teh
Ndg zangu tufike hatua unafiki tuuweke pembeni na pale penye ukweli tujitahidi kuukubari na kuomba radhi huku tukirekebisha tulipokosea! Kitendo kilichofanywa na vijana wa UVCCM Zanzibar si kitendo cha kiungwana! Imenikera kuona UVCCM inataka kudanganya kuwa wapinzani ndo wametengeneza na kutaka kulieneza kwenye mitandao ya kijamii wakati kwa macho yetu tumeona! Hata hivyo naamini nakuja kubadilisha kabisa muundo wa UVCCM 2017 pale ntakapochukua madaraka! Nasikitika kusema UVCCM ya sasa imekuwa kama mashabiki nyumbu wa Chadema wanaokuwa bendela kufata upepo! UVCCM wanajaribu kuficha maovu wakati yametendeka hadharani! Hapana! Acheni unafiki wanaccm wenzangu! Pale penye ukweli tusidanganye ili kuwafurahisha viongozi bali tusimamie ukweli! Kwani mkiwa wakweli na kukemea ule ujinga wa UVCCM ZANZIBAR mtapata dhambi? Acheni maisha ya kukipendekeza ili baadae mpewe ukuu wa wilaya kama Makonda! Fanyeni kazi na kama hamtafanya kazi 2017 sio mbali ntakua nimekalia hicho kiti na ntakachofanya hamtakisahau!
Ha ha ha mkuu me ni mu Hizbu, labda nikuulize wewe hiyo rangi km mtusi au mhutu vile,Habari ya Hapa mbona hio Avatar yako unaonesha wa wewe ni toto la Chotara hapo. teh tet tee..
He he Binamu usishindane Na chama cha majungu, a.k.a Nkuruzinza wa Tanzania utaumia kichwanoma sana binamu eti wanasema.....eti wamelishwa maneno na wapinzani...hahahahah
Wakati mabango wamebeba wenyeweeeeee
UJUMBE MFUPI KWA MAALIM SEIF!.THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF- Chama Cha Wananchi)
Office of the Secretary General
Party Headquarters, P.O. Box 3637, Zanzibar, Tanzania
Date: 25 November, 2015
Your Holiness
The Pope of the Catholic Church
The Holy See
Vatican
Your Holiness,
We, from a small island of Zanzibar in the Indian Ocean offer our greetings, and wish to express our admiration for your people-based approach to the problems of this world.
Zanzibar has had a long history of trade and inter-cultural relations between different peoples and religions that have been based on not merely tolerance but respect for different cultures and religions for hundreds of years.
When a Christian missionary asked the Sultan of Zanzibar in 1840 for permission to build a Christian mission in his territory, the Muslim Sultan described him as a ‘man of God who wants to spread the word of God.’
WhenZanzibar achieved its independence in 1963, the highest denomination of its commemorative stamp was on the theme of religious tolerance, showing the Catholic and Anglican cathedrals, a Sunni and Shia mosque, and a Hindu temple, which have co-existed within stone’s throw of each other without religious tensions and conflicts.
We are sorry to say that this long tradition has begun to crack, but the reasons very often are not religious but political disempowerment and deprivation of our
inalienable rights. The case in point is the recent election on 25th October, 2015.
Even apologists of the ruling party now admit that the Civic United Front has won every election since the restoration of the multi-party system in 1995, but it has never been allowed to rule.
In this year’s election, every election observer team had concluded that the election was peaceful, free and fair; but when it appeared that the ruling party was losing – and the results are widely known - its Zanzibar Electoral Commission Chairman appointed by the ruling party’s President abruptly and unconstitutionally annulled the election.
Instead of taking a corrective action against this illegality, the Union Government where the ruling party has won has been supporting the Zanzibar state with its police and armed forces threatening dire action.
Zanzibar is a predominantly Muslim country, so there is not a religious divide at all, but failure by the people to achieve their democratic rights through the ballot after 20 years of elections may drive some discontented youths to extra-democratic paths of which our world is seeing too much of these days.
It is for these reasons that we appeal to Your Holliness to exercise your considerable moral influence over the Tanzanian Government to arrest this sense of hopelessness and helplessness before it is too late.
It has been three weeks since the elections were held, and economic activities are coming to a haltamong people gripped in fear and foreboding about the future of their country, which may damage our long tradition of inter-cultural and inter-religious harmony.
Yours faithfully,
Seif Sharif Hamad
First Vice President of Zanzibar
Presidential Candidate
UJUMBE MFUPI KWA MAALIM SEIF!.
BINAFSI NIMEZIDI CHUKIWA NA HII BARUA YA MAALIM SEIF, KIUKWELI SITO OGOPA KUSEMA.
UKISOMA KWA MAKINI BARUA YA MAALIM SEIF ALIYOMPELEKEA PAPA INAONYESHA WAZI,KUWA MAALIM SEIF SI KIONGOZI WA SEREKALI YA MAPINDUZI.
NIMEGUNDUA AMEMDANGANYA PAPA KUWA ZANZIBAR ILIPATA UHURU MWAKA 1963 HUKU AKIJUA FIKA ZANZIBAR ILIJIKOMBOA KWA MAPINDUZI YA MWAKA 1964!. ILA AMESAHAU KUWA YEYE NI MAKAMO WA RAISI WA SEREKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR NA SIO NJENGINE.
HALI HII IMENISTUA ZAIDI MIMI KAMA KIJANA, NAOMBA SEREKALI ITAZAME KWA MAKINI SANA UPOTOSHAJI HUU UNAO PELEKWA NA MAALIM NJE YA NCHI.
HUU NI UNAFIKI WA KIMATAFA!.
UKWELI NI KWAMBA,AMEPORA HAKI YA WAZANZIBARI KUWASEMEA ZANZIBAR IMEPATA UHURU 1963 HUKU AKIACHA KUSEMA UKWELI WAZANZIBARI WANATAMBUA MAPINDUZI YA 19964.
TUNASEMA KUWA SISI VIJANA TUTALINDA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA GHARAMA ZOTE.
Ila kweli binamu...hii ni hatari...hebu twenzetuHe he Binamu usishindane Na chama cha majungu, a.k.a Nkuruzinza wa Tanzania utaumia kichwa
Wapi mombasaIla kweli binamu...hii ni hatari...hebu twenzetu
Kuna nini huko Mombasa?Wapi mombasa
Hawa uvccm ni wapuuzi kweli kuna mabango mangapi yameonekana mitaani. Mmellelewa vibayaHhahahahahahah....Eti
UVCCM tumesikitishwa na tunalaani vikali kitendo kilichofanywa na vyama vya siasa vya kuunganisha picha za wana-CCM watiifu na kuwanasibisha na maneno ambayo hayana uhusiano nao tofauti na maudhui ya ujumbe uliokusudiwa, kitendo hicho kilikuwa na nia ya kutaka kuwagawa na kuwafarakanisha wana-CCM kwa kisingizio cha ukabila
Hhahahahahahahahaha
KudaDEKI Zenu ninyi wabaguzi CCM
Wewe ni raisi wa dunia wa upuuzi .pinga mambo muhimu yalioandikwa kama ni uongo au ukweli unakuja na minor issue ya vitarehe na mwaka wewe umeona hilo tu .kweli mbutika ni wengi!Urio, Urio mbona unajichanganya ama huelewi? Hakuna anaepinga ya kwamba Zanzibar ilipata Uhuru 1963. Mwaka 1964 Zanzibar ilipindua ndio maana ya Mapinduzi. Huo ndio Ukweli na record zipo duniani hata UN. Wacha Uchotara wako huo
Ndo nilikuwa nakuuliza maana Umenambia twondoke zetu,Kuna nini huko Mombasa?