Tamko la TYP juu ya MCC

Nchi hii imefika mahali mnikabidhi mimi PhD niweze kuwaokoa katika majanga makubwa
 
Hii Pesa ya MCC inawauma watu wengi sana yaani mpaka imekua noma kiasi hiki???

Hivi ni kweli tangia nchi hii ianze huo msaada wa MCC ndo msaada pekee Tanzania uliwahi kunyimwa na mataifa ya magharibi??

Alafu kama matatizo yetu ya ndani yanafahamika kwanini zisitumike njia za ndani za kiharakati au kufuata protokali ku-solve hayo matatizo mpaka tutumie hizo pesa za msaada kama ndo silaha ya kujikomboa toka katika matatizo hayo??

UKAWA na Wapinzani wengine pamoja na Wanaharakati kwa ujumla wana mipango ipi ya kimkakati kuhakikisha "Cyber crime law" inakua sio kandamizi na demokrasia kule Zanzibar inazingatiwa.... Hii MCC iwe ni kama chachu ila wasifanye kama ndo Ajenda muhimu kwani umuhimu wake sio mkubwa kiivyo...

Mwisho wa siku mimi naona hizi pesa za MCC zinaweza kua zilikua katika rada za wale wapigaji wetu wa misaada... watu walikua wanajipatia ulaji apa.. sasa mambo yameenda mrama inajengwa figisu figisu kana kwamba kuna jambo la kujadili sana kama taifa kuhusu iyo MCC....
 
hata sijawaelewa maana hata hapo umeshatoa mawazo yako. Lakini utaishi kwa kutegemea msaada wa baba wa jirani mpaka lini. Matamko mengine yanatuwekea uzembe wa kufukiria, am still loading.....
Tunatofautiana uelewa
 

Ninatamani muende mbele kidogo na kuilazimisha serikali ya ccm kuanza mara moja mchakato wa upatikanaji wa ktiba ya wananchi kuanzia pale ilipoishi tme ya Warioba. Bunge la katiba lisiundwe na wabunge wa bunge la JMT bali liwe maalumu lenye uwaklishi ulio sawia katika makundi yote. Kam akila kundi linawakilishwa na watu wawili basi kila chama cha siasa kiwakilishwe na watu wawili tena ikiwa ni lazima vyama viwakilishwe.

Upofu wa katiba ndiyo umetufikisha hapa tulipo. Bila marekebisho ya katiba, yote mengine ni danganya toto. Katiba ndiyo inatoa mwanya kwa watu binafsi kubinafsisha nchi na maslahi ya raia kwa kivuli cha mamlaka ya kikatiba.

Tena waambieni ccm wakome ku brainwash watu kwamba eti kunyimwa misaada ni kujitegemea. Kujitegemea kunakujaje bila kuratibiwa kwa mipango mahsusi yenye mrengo huo? Wakati wanaahidi kuyatolea ufafanuzi hayo majanga ya democrasia na matumizi mabaya ya sheria gandamizi, hawakujua kwamba wanakiuka Demokrasia na kunyanyasa raia ili wajitegemee? Kwa nini hawakujibu pale pale kama ndilo lilikuwa lengo?

Ok. tuseme walikuwa wanaandaa majibu, kama majibu ndiyo haya wanayotumia ku wa brainwash Watanzania majuha, kwa nini hawakuyawasilisha kwenye MCC kama walivyohitajika? Ccm ituondolee upumbavu.

Tanzania si mali ya ccm ni ya Wananchi. Mwisho wa uvumulivu wa Wantanzania dhdi ya utawala dharimu wa ccm sasa umefika.

Sseiakli ya ccm inatakiwa kulazimishwa kufuata uongozi wenye maslahi kwa Watanzania na si upumbavu wa kuwatumia Watanzania kwa maaslahi ya watawala. Period!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…