GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
View attachment 51615500-Tamko-la-MUWAZA-Katiba-Mpya.pdf Tamko kutoka kwa muwaza uwengereza hapa london.
View attachment 25763 Tamko kutoka kwa muwaza uwengereza hapa london.
Kama uko nje ya nchi yako usiongee lolote kuhusu mambo ya Nchi yako,kama uko ndani ya Nchi yako Shiriki asilimia 100 kujenga Nchi yako(Churchil UK PM)!
Kama uko nje ya nchi yako usiongee lolote kuhusu mambo ya Nchi yako,kama uko ndani ya Nchi yako Shiriki asilimia 100 kujenga Nchi yako(Churchil UK PM)!
Bado munakiza sna vijana munahitaji tochi na mamji ya uzima,,,hivi watanzania walioko njee hawawezi kushiriki kikamilifu katika kujenga nchi ? Tulia kijana,kama hujui tanzania inajengwa na wasomi wa kitanzania waliko njee ya tanzania,,tunaheshimika sana,,,muulize baba yako kikwete na mrema,,,Agree!
Bado munakiza sna vijana munahitaji tochi na mamji ya uzima,,,hivi watanzania walioko njee hawawezi kushiriki kikamilifu katika kujenga nchi ? Tulia kijana,kama hujui tanzania inajengwa na wasomi wa kitanzania waliko njee ya tanzania,,tunaheshimika sana,,,muulize baba yako kikwete na mrema,,,
Bado munakiza sna vijana munahitaji tochi na mamji ya uzima,,,hivi watanzania walioko njee hawawezi kushiriki kikamilifu katika kujenga nchi ? Tulia kijana,kama hujui tanzania inajengwa na wasomi wa kitanzania waliko njee ya tanzania,,tunaheshimika sana,,,muulize baba yako kikwete na mrema,,,
Tulia kijana,sisi hapa tupo kwa ajili ya serikali ya tanzania,imetulipia ada kusoma,na mijengo ya kusihii,sasa tupo kama maproffesor,,kikwete akishndwa huja huku kuomba msaada,na serikali sisi inatulinda kwa nguvu zote,,,hiyo barua inasikilizwa na viongozi wote,kama wewe hutaki basi kaa kimpya ,,kama hukusoma anza veta ujajifunze japo kuchonga ubao ikisha tutakusaida scholership,,,upeo wako mdogoHivi kwa uelewa wako hao watu wako wa nje nao Wanajiita Wazalendo? Kwanza wengi wanasafisha vyoo tu hawana kazi yoyote na wakipata muda wanaingia JF! Kwa mtazamo wako una ona watu walio abroad wako smart sana upstairs! Dada yangu usijidanganye nao hawana mbele wala nyuma!
. Ama kweli great thinker wewe hongera. Made in tanzaniahivi kwa uelewa wako hao watu wako wa nje nao wanajiita wazalendo? Kwanza wengi wanasafisha vyoo tu hawana kazi yoyote na wakipata muda wanaingia jf! Kwa mtazamo wako una ona watu walio abroad wako smart sana upstairs! Dada yangu usijidanganye nao hawana mbele wala nyuma!
. Ama kweli great thinker wewe hongera. Made in tanzania