Tamko la kulaani upendeleo wa wazi wa kiutendaji kwa jeshi la polisi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
*Ndugu waandishi wa habari*

Nimewaita hapa leo kuelezea masikitiko yetu sisi kama Baraza la vijana wa Chadema (BAVICHA) mkoa wa Manyara juu ya upendeleo wa wazi unaofanywa na JESHI LA POLISI hapa nchini,

Leo vyombo vya habari vimemnukuu kaimu katibu mkuu wa Uvccm ndugu Shaka kwamba wapo Dodoma na wanawatafuta Vijana wa Bavicha,

Kauli kama hizi zimejaa uchokozi lakini pia ni dharau ambayo ni dhahiri kwa vijana wengine taifa hili,

Tutalishangaa sana Jeshi la polisi kama halitamkamata na kumchukulia hatua kali za kisheria ndugu Shaka kwa maneno yake haya ya kichochezi,

Hivi UVCCM wanaweza kuwazuia BAVICHA?
na kama jeshi la police halina upenndeleo kwanini lisiwakamate hao UVCCM wanaosema wamewasubiri BAVICHA dodoma wakati suala la kuwazuia BAVICHA ni la police na sio la UVCCM kama walivyosema wenyewe kwamba hawahitaji msaada wa kipolice kwa watu wasio na mafunzo??
au UVCCM ni kikosi B cha police kuwazuia BAVICHA?

Au wanasema hadharani kwasababu wamevaa koti la POLISI ...viongozi wa BAVICHA walisema tunakwenda dodoma hata kabla hawajafanikisha zoezi wakakamatwa na kufunguliwa kesi ya uchochezi ila UVCCM wamesema tayari wako dodoma ila POLISI wako kimya,

Rai yangu kwa Jeshi la polisi kama kweli hawatumiki na vyama vya siasa tunawaomba wawasake hawa UVCCM walioko Dodoma na kuwafikisha mbele ya sheria naomba ikumbukwe kuwa wanachama wa BAVICHA wako nchi nzima ikiwemo Dodoma, kauli hii ya ndugu Shaka itawafanya Bavicha wanaoishi Dodoma wa kuishi kwa wasiwasi mkubwa, sasa sisi vijana wa Manyara hatutakubali kuona vijana wenzetu wanakosa amani ya kwa sababu Polisi wameamua kuwabeba UVCCM,

pia nishauri ndugu Shaka awe anaomba ushauri kabla ya kutoa kauli za hovyo kama hizo, Vijana wa tanzania watakushangaa na pengine kuamini kuwa zile tuhuma za kuwa anamahusiano na wanaume wenzake wa Mombasa zinaweza tukaziamini sasa, kwa kitendo cha kwenda kutangaza hadharani kuwa unawatafuta wanaume wenzake inazua Majadala mzito kwa kuwa kauli hii ina tafsiri nyingi.

Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.

*Imetolewa* _18/07/2016_ BABATI.

*Frank Oleleshwa*.
0787933339/0655264709
M/kiti wa Bavicha mkoa wa Manyara.
 
'tamko la kulaani' ...ninavyoelewa ni kuwa laana ya mtu yeyote ina uwezo wa kumpata mlaaniwa cha msingi tu iwe inasimamia ukweli. Polisi eleweni mko kwa ajili ya wananchi wote na mkilaaniwa na kundi mojawapo kuna haja ya kuchunguza kama madai yao ni kweli au la!
 
*
Hivi UVCCM wanaweza kuwazuia BAVICHA?

UVCCM ni mabouncer wa kulinda mkutano wa CCM dhidi ya kibaka yeyote awe wa mtaani aU BAVICHA na BAVICHA pia ni mabouncer wa mikutano yao ya CHADEMA.Kama BAVICHA akijichanganya na kujishughulisha na mambo ya mkutano wa CCM hapo akipigwa nondo na UVCCM asipige yowe kwa kuwa anaingilia mkutano usiomhusu.Hata kumbi za HARUSI HUWA na mabouncer wa kuzuia asiyehusika asiingilie msafara wala sherehe ya harusi ambaye si polisi bali wahusika wenyewe wenye shughuli yao.

Shughuli kama haikuhusu uwe BAVICHA au nani hutakiwi kuisemea wala kuiingilia.
 
*Ndugu waandishi wa habari*

Nimewaita hapa leo kuelezea masikitiko yetu sisi kama Baraza la vijana wa Chadema (BAVICHA) mkoa wa Manyara juu ya upendeleo wa wazi unaofanywa na JESHI LA POLISI hapa nchini,

Leo vyombo vya habari vimemnukuu kaimu katibu mkuu wa Uvccm ndugu Shaka kwamba wapo Dodoma na wanawatafuta Vijana wa Bavicha,

Kauli kama hizi zimejaa uchokozi lakini pia ni dharau ambayo ni dhahiri kwa vijana wengine taifa hili,

Tutalishangaa sana Jeshi la polisi kama halitamkamata na kumchukulia hatua kali za kisheria ndugu Shaka kwa maneno yake haya ya kichochezi,

Hivi UVCCM wanaweza kuwazuia BAVICHA?
na kama jeshi la police halina upenndeleo kwanini lisiwakamate hao UVCCM wanaosema wamewasubiri BAVICHA dodoma wakati suala la kuwazuia BAVICHA ni la police na sio la UVCCM kama walivyosema wenyewe kwamba hawahitaji msaada wa kipolice kwa watu wasio na mafunzo??
au UVCCM ni kikosi B cha police kuwazuia BAVICHA?

Au wanasema hadharani kwasababu wamevaa koti la POLISI ...viongozi wa BAVICHA walisema tunakwenda dodoma hata kabla hawajafanikisha zoezi wakakamatwa na kufunguliwa kesi ya uchochezi ila UVCCM wamesema tayari wako dodoma ila POLISI wako kimya,

Rai yangu kwa Jeshi la polisi kama kweli hawatumiki na vyama vya siasa tunawaomba wawasake hawa UVCCM walioko Dodoma na kuwafikisha mbele ya sheria naomba ikumbukwe kuwa wanachama wa BAVICHA wako nchi nzima ikiwemo Dodoma, kauli hii ya ndugu Shaka itawafanya Bavicha wanaoishi Dodoma wa kuishi kwa wasiwasi mkubwa, sasa sisi vijana wa Manyara hatutakubali kuona vijana wenzetu wanakosa amani ya kwa sababu Polisi wameamua kuwabeba UVCCM,

pia nishauri ndugu Shaka awe anaomba ushauri kabla ya kutoa kauli za hovyo kama hizo, Vijana wa tanzania watakushangaa na pengine kuamini kuwa zile tuhuma za kuwa anamahusiano na wanaume wenzake wa Mombasa zinaweza tukaziamini sasa, kwa kitendo cha kwenda kutangaza hadharani kuwa unawatafuta wanaume wenzake inazua Majadala mzito kwa kuwa kauli hii ina tafsiri nyingi.

Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.

*Imetolewa* _18/07/2016_ BABATI.

*Frank Oleleshwa*.
0787933339/0655264709
M/kiti wa Bavicha mkoa wa Manyara.
nchi bhana...
Ova ze komedi..
 
pia nishauri ndugu Shaka awe anaomba ushauri kabla ya kutoa kauli za hovyo kama hizo, Vijana wa tanzania watakushangaa na pengine kuamini kuwa zile tuhuma za kuwa anamahusiano na wanaume wenzake wa Mombasa zinaweza tukaziamini sasa, kwa kitendo cha kwenda kutangaza hadharani kuwa unawatafuta wanaume wenzake inazua Majadala mzito kwa kuwa kauli hii ina tafsiri nyingi.


Mosi, Kwa mtazamo wangu, kipengele hiki kisingehusishwa katika tamko lako. Kitazalisha tafsiri nyingi zisizo rasmi.

Kwa mfano:

(a)Iwapo itathibitika pasipo shaka kwamba Shaka huwafuata wanaume wenzake huko Mombasa, kwahiyo BAVICHA nao watamfuata kama wanaume wa Momba au?

(b)Na kwamba Shaka anawatafuta wanaume wenzake wa BAVICHA?Kwani BAVICHA haina wanachama wa kike?

Ingetosha kujikita tu katika hoja mlizozijenga za kuonyesha "double standard" inayofanywa na Jeshi la Polisi.

Pili, Ninaungana na wapenda demokrasia wote kulaani upendeleo wa dhahiri kwa CCM unaonyeshwa na jeshi la Posili, pia ukandamizaji na uonevu dhidi ya wafuasi wa vyama vya upinzani.

Haki sawa kwa wote na haki ionekane ikitendeka kwa wote bila kubagua vyama vyao ambavyo vipo kwa mujibu wa sheria.
 
Mosi, Kwa mtazamo wangu, kipengele hiki kisingehusishwa katika tamko lako. Kitazalisha tafsiri nyingi zisizo rasmi.

Kwa mfano:

(a)Iwapo itathibitika pasipo shaka kwamba Shaka huwafuata wanaume wenzake huko Mombasa, kwahiyo BAVICHA nao watamfuata kama wanaume wa Momba au?

(b)Na kwamba Shaka anawatafuta wanaume wenzake wa BAVICHA?Kwani BAVICHA haina wanachama wa kike?

Ingetosha kujikita tu katika hoja mlizozijenga za kuonyesha "double standard" inayofanywa na Jeshi la Polisi.

Pili, Ninaungana na wapenda demokrasia wote kulaani upendeleo wa dhahiri kwa CCM unaonyeshwa na jeshi la Posili, pia ukandamizaji na uonevu dhidi ya wafuasi wa vyama vya upinzani.

Haki sawa kwa wote na haki ionekane ikitendeka kwa wote bila kubagua vyama vyao ambavyo vipo kwa mujibu wa sheria.
Mkuu ina maana shaka ni mliberali?
 
Back
Top Bottom