wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?
Kulikoni?
<br />So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.<br />
Kulikoni?
Siku hizi CCM wanakimbilia kumuweka mzee wa watu uchi walianza kwa kutoa barua ya Jairo huoni waisaidia Chadema kalagha baho.January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
<br />hii ni issue ya kiutendaji zaidi mimi ningependa kusikia tamko la kujiudhuru NGEREJA kisha KIKWETE na serikali<br />
yake wafanyabiashara wanawatumishia msuli kila kukicha <br />
na wezi wanatembea kibabe mtaani<br />
kuna hadi meya wa jiji la DAR yeye kaenda mbali zaidi na kudai kuna wanaotumi ****** kufikiria<br />
shabashi ina maana muda wote nchi iko chooni? really?
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?
Asante hata mimi nimemweleza Mlengo wa Noti kuwa ni ujinga kumcheka mzee wako mwenyewe akikaa uchi, eti kwa vile yanaibuliwa na wabunge wa CCM anaona sawa, ujinga ni jaa.Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.
Samahani..,Hivi magamba wametoa tamko..?So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?
Bahasha la Jairo sio mchezo dah!Unajua ukiwa huna data sahihi sio vema kuongea Confidently kiasi hiki.Hivi uliangalia Bunge hiyo jana?Hotuba yake Ya waziri kivuli umeisoma,unajua kilichomo?Kukusaidia we Majambo:Kwanza ameshauri kutenganisha Wizara Nishati peke yake na Madini kivyake,hii itasaidia ufanisi.Ngereja aliisapoti,lakini Magamba tunawajua hii Chungu kumeza kama Quinini.Lakini akiileta January haaaaaa fasta.Lakini Issue ya mafuta hata jana Kasisitiza alichokisema kwenye hotuba yake mbadala nini kifanyike.Ila Baadhi ya Matamshi yake ni haya "Mh. spika serikali dhaifu matokeo yake ndio haya,Yaani serikali inapewa masaa 24,tena na mtu mmoja,mfanyabiashara asiye raia?Hii ni aibu".Serikali ihakikishe mafuta yanauzwa,inajua kila kitu katika hili,Tunamuonea Bure Mh.Ngeleja wakati Vigogo wakubwa wanamkwamisha!Nafikiri umejua sasa nini alisema,sio unakurupuka hapa JF unabonga pumba zako.
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
Samahani..,Hivi magamba wametoa tamko..?
<br />Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.
This is another crap!
Yaani ulishawishika na ilani ya ccm ukamchagua JK nae akaunda "serikali" itakayoshughulikia matatizo yako na kukuletea "maendeleo!" Leo huridhiki na utekelezaji wa ulichoahidiwa, unaulizia tamko la cdm. Kwani wao ndio walikuchagulia ccm!? Wao ndio wanaunda serikali? Uliwatosa wakati wa uchaguzi, leo unataka wakutetee/wakusemee?
Hii itakuwa haina tofauti na mwanamke aliyeolewa lakini bado anamtaka mchumba wa zamani aliyemtosa mwenyewe! Upuuzi kabisa....
So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.