Tamko la CHADEMA juu ya sakata la mafuta

Chadema huwa wanatumia muda mwingi kwa issues ngumu kueleweka kwa wananchi hili la mafuta waseme nini zaidi wakati issue inajiuza yenyewe.

Don't spend too much time for old customers always look for new ones.
 
hii ni issue ya kiutendaji zaidi mimi ningependa kusikia tamko la kujiudhuru NGEREJA kisha KIKWETE na serikali
yake wafanyabiashara wanawatumishia msuli kila kukicha
na wezi wanatembea kibabe mtaani
kuna hadi meya wa jiji la DAR yeye kaenda mbali zaidi na kudai kuna wanaotumi ****** kufikiria
shabashi ina maana muda wote nchi iko chooni? really?
 
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
 
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
Siku hizi CCM wanakimbilia kumuweka mzee wa watu uchi walianza kwa kutoa barua ya Jairo huoni waisaidia Chadema kalagha baho.
 
hii ni issue ya kiutendaji zaidi mimi ningependa kusikia tamko la kujiudhuru NGEREJA kisha KIKWETE na serikali<br />
yake wafanyabiashara wanawatumishia msuli kila kukicha <br />
na wezi wanatembea kibabe mtaani<br />
kuna hadi meya wa jiji la DAR yeye kaenda mbali zaidi na kudai kuna wanaotumi ****** kufikiria<br />
shabashi ina maana muda wote nchi iko chooni? really?
<br />
<br />
Asante sana mkuu. Haki ya nani nimecheka sana ingawa moyo una majonzi mbaya kwa kuwa mtz.
 
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!

Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.
 
So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?

Unajua ukiwa huna data sahihi sio vema kuongea Confidently kiasi hiki.Hivi uliangalia Bunge hiyo jana?Hotuba yake Ya waziri kivuli umeisoma,unajua kilichomo?Kukusaidia we Majambo:Kwanza ameshauri kutenganisha Wizara Nishati peke yake na Madini kivyake,hii itasaidia ufanisi.Ngereja aliisapoti,lakini Magamba tunawajua hii Chungu kumeza kama Quinini.Lakini akiileta January haaaaaa fasta.Lakini Issue ya mafuta hata jana Kasisitiza alichokisema kwenye hotuba yake mbadala nini kifanyike.Ila Baadhi ya Matamshi yake ni haya "Mh. spika serikali dhaifu matokeo yake ndio haya,Yaani serikali inapewa masaa 24,tena na mtu mmoja,mfanyabiashara asiye raia?Hii ni aibu".Serikali ihakikishe mafuta yanauzwa,inajua kila kitu katika hili,Tunamuonea Bure Mh.Ngeleja wakati Vigogo wakubwa wanamkwamisha!Nafikiri umejua sasa nini alisema,sio unakurupuka hapa JF unabonga pumba zako.
 
Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.
Asante hata mimi nimemweleza Mlengo wa Noti kuwa ni ujinga kumcheka mzee wako mwenyewe akikaa uchi, eti kwa vile yanaibuliwa na wabunge wa CCM anaona sawa, ujinga ni jaa.
 
This is another crap!
Yaani ulishawishika na ilani ya ccm ukamchagua JK nae akaunda "serikali" itakayoshughulikia matatizo yako na kukuletea "maendeleo!" Leo huridhiki na utekelezaji wa ulichoahidiwa, unaulizia tamko la cdm. Kwani wao ndio walikuchagulia ccm!? Wao ndio wanaunda serikali? Uliwatosa wakati wa uchaguzi, leo unataka wakutetee/wakusemee?
Hii itakuwa haina tofauti na mwanamke aliyeolewa lakini bado anamtaka mchumba wa zamani aliyemtosa mwenyewe! Upuuzi kabisa....
 
Unajua ukiwa huna data sahihi sio vema kuongea Confidently kiasi hiki.Hivi uliangalia Bunge hiyo jana?Hotuba yake Ya waziri kivuli umeisoma,unajua kilichomo?Kukusaidia we Majambo:Kwanza ameshauri kutenganisha Wizara Nishati peke yake na Madini kivyake,hii itasaidia ufanisi.Ngereja aliisapoti,lakini Magamba tunawajua hii Chungu kumeza kama Quinini.Lakini akiileta January haaaaaa fasta.Lakini Issue ya mafuta hata jana Kasisitiza alichokisema kwenye hotuba yake mbadala nini kifanyike.Ila Baadhi ya Matamshi yake ni haya "Mh. spika serikali dhaifu matokeo yake ndio haya,Yaani serikali inapewa masaa 24,tena na mtu mmoja,mfanyabiashara asiye raia?Hii ni aibu".Serikali ihakikishe mafuta yanauzwa,inajua kila kitu katika hili,Tunamuonea Bure Mh.Ngeleja wakati Vigogo wakubwa wanamkwamisha!Nafikiri umejua sasa nini alisema,sio unakurupuka hapa JF unabonga pumba zako.
Bahasha la Jairo sio mchezo dah!
 
Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.
<br />
<br />
HEKO.
 
This is another crap!
Yaani ulishawishika na ilani ya ccm ukamchagua JK nae akaunda "serikali" itakayoshughulikia matatizo yako na kukuletea "maendeleo!" Leo huridhiki na utekelezaji wa ulichoahidiwa, unaulizia tamko la cdm. Kwani wao ndio walikuchagulia ccm!? Wao ndio wanaunda serikali? Uliwatosa wakati wa uchaguzi, leo unataka wakutetee/wakusemee?
Hii itakuwa haina tofauti na mwanamke aliyeolewa lakini bado anamtaka mchumba wa zamani aliyemtosa mwenyewe! Upuuzi kabisa....

Mbona issue ya sukari walongea na kuandamana? mbona huuliza hayo maswali? for that matter what is the role of kambi kuu ya upinzani?
 
Tamko la chadema linahitajika hapa kweli? Wanacho demand wananchi ndicho Chadema wana-stand on it

1. Transparency kwenye uuzaji wa mafrta uingizaji wa mafuta Tanzania
2. Kwanini ccm na mafisadi wananufaika kupitia migongo ya wananchi, I am not surprised
3. Umeme unaopatikana sasa hivi kwa mgao unatoka wapi i.e. energy sources please
4. Dowans, Richmond na scandals zote kikwete report yourself to jail kwasababu either unahusika (most likely) au unawakumbatia wahuni wenzio (most likely)
5. What is in your plate kwenye trips za overseas kutafuta mafuta, majeneretas at the same time unakula mafuta ya ndege ya wananchi! Does this make sense Pinda?



So far hatumwoni wala kumsikia waziri kivuli husika wa CHADEMA juu ya hili sakata la mafuta.
Kulikoni?
 
Ukicheza na timu kama barcelona wana option nyingi za kukushinda. "Ukipaki basi" wanakuwekea presha kwenye 18 yako mpaka unajifunga mwenyewe. Hili la January ni offensive goal tu,lakini mechi haijakwisha bado na ball possession ni 80/20 in favor of barca (CDM).
January makamba amewawahi jana,magwanda wanajiuliza ilikuaje wakashindwa fikiria kama January!
 
Tatizo lako unajidai kujua mambo lakini ni zero brain!!!Sikiliza sasa Huyu January alikua mshauri wa Rais JK Uchumi,anajua kila kitu kinachoendelea.Ile hoja hata wangeleta Wazee wa Kazi Chadema magamba wangeitosa tu hasa ukizingatia Job alikalia kiti.Wewe jiulize,Ile miongozi yote minne walisimama wabunge wa Ze magambazi,kama sio chezo ni nini?walitaka tusishangae,tuone kama new issue kumbe walipanga.Lengo wanamtafuta Mtoto wa Mkulima aonekane ameshindwa kusimamia baraza la mawaziri so ajiuzuru!!Lakini Lililowazi Zaidi wewe kipepeo Mlengo wa Kati-January Makamba 'ANAUTAKA UWAZIRI WA NISHATI NA MADINI' Kwa hiyo anajitahidi kadri awezavyo kuonyesha wikinesi za Ngeleja.Kama mimi muongo Follow me through JF tutapata tu Majibu.kumbuka kama M/kiti wa kamati ya Bunge la Magamba alishawishi bajeti igomewe,sasa kuelekea kuisoma tena analeta zengwe la mafuta,Mafuta yenyewe wauzaji ndio wafadhili wenu kwenye kampeni,sasa wewe usiyejua unaona jipyaaaaaaaaaaaaaa kudadeki,wajinga ndio mliwao.


Exactly huu ndio ukweli magamba hawataki kuujua na wengineo huyu jamaa alianza kwa kumuandikia barua ngereja ili apate ile kamati baada ya hapo anaangalia kama atapata huo uwaziri hapa Dots zinaunganishika kabisa

Mods kidude cha thx kikowapi
 
Back
Top Bottom