Tamko la CHADEMA asili

mmejitahidi na tamko lenu(kwa mujibu wa vichwa vyenu)na cku nyingine mtuletee
 
Tamko hili mlilitolea wapi na waandishi gani walihudhuria?
Tamko ili liwe tamko ni lazima litolewe ktk muktadha maalumu, watu maalumu na wakati maalumu.

Poleni sana.
Tamko si lazima waalikwe waandishi!
 
Sisi CDM hatuongozwi na wala kufikiria kwa kutumia TUMBO kama mleta Thread kadake chako tembea mbele kama kawa then kesho uje tena..as usual.
Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba,wewe ni wale haramu.
 

1.0 MATATIZO YA KICHAMA, KIFAMILIA , KI DINI NA MENGINEYO KAMA HAYO HAYATATULIWI KWA KUTUMIA MITANDAO.
2.0 CHADEMA ASILI NI ASILI YA WAPI HIYO?
 
1.0 MATATIZO YA KICHAMA, KIFAMILIA , KI DINI NA MENGINEYO KAMA HAYO HAYATATULIWI KWA KUTUMIA MITANDAO.
2.0 CHADEMA ASILI NI ASILI YA WAPI HIYO?
Kwani chadema wote waliridhika na ujio wa kaka mkubwa,asili yake ndani ya ufipa!
 
Wee kipara umetumwa na Mama Mshumbusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…