Tamko la BAVICHA mkoa wa Arusha kuipongeza kamati kuu ya CHADEMA

Mwan mpambanaji

JF-Expert Member
Apr 3, 2008
482
131
BARAZA LA VIJANA CHADEMA MKOA WA ARUSHA(BAVICHA)
P.0.BOX 12525
ARUSHA
TEL.0754 834152
Email.arushabavicha@gmail.com
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)


TAMKO LA BAVICHA MKOA WA ARUSHA.KUIPONGEZA KAMATI KUU YA CHADEMA PAMOJA NA KUUNGA MKONO SIKU 21 ZA SERIKALI KUTATUA SWALA LA UMEYA WA ARUSHA

Ndugu wanahabari
Mtakumbuka kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi tarehe 19.3.2011,pamoja na maazimio mengine,ilitoa siku 21 kwa serikali kutumia busara kutatua swala la umeya wa Arusha,ambao sote ni mashahidi ya jinsi ulivyokiuka sheria.Bavicha mkoa wa Arusha tunaipongeza kamati kuu,kwa jinsi ambavyo wamekuwa na busara na jitihada zote za viongozi wetu kuzuia umma wa Arusha.Ni busara za viongozi wetu ambazo zimefanya hadi sasa umma wa Arusha umekuwa na subira,tukiamini kuwa kama serikali itatumia busara basi swala la umeya litatatuliwa kidiplomasia,siku 21 zinatosha kabisa kwa serikali kama ina nia ya kweli na dhamira zao zinawatuma hivyo
Bavicha mkoa wa Arusha,tunapenda kuihakikishia kamati kuu na umma wa Tanzania kwa ujumla kuwa,tupo imara,na tupo tayari kupambana hadi ushindi upatikane,vijana na umma wa Arusha hatutakubali wala kuendelea kuvumilia ukiukwaji huu wa sheria katika uchaguzi wa meya,na kamwe hatumtambui wala hatutamtambua meya ambaye si chaguo la wanaarushaNi lazima uchaguzi urudiwe ili haki itendeke,maana msingi wa maendeleo ni HAKI,na bila haki hamna maendeleo wala Amani.Tunasisitiza kuwa baada ya siku 21 tutaingia mitaani kushinikiza uchaguzi wa meya,vijana tupo tayari kwa mapambano,hatutaogopa wala kutishwa na awaye yote,tutapambana hadi kieleweke.

Ikiwa hakuna jambo lolote muhimu ambalo mtu yupo tayari kufa kwalo,basi mtu huyo hastahili kuishi,Martin Luther King Jr


NANYARO E.J.
MWENYEKITI BAVICHA (M)
………………………………..
 
Duh,kuna kupumua kweli mwaka huu?
Hata babu saivi hampumzishi tena JK
 
BARAZA LA VIJANA CHADEMA MKOA WA ARUSHA(BAVICHA)
P.0.BOX 12525
ARUSHA
TEL.0754 834152
Email.arushabavicha@gmail.com
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)


TAMKO LA BAVICHA MKOA WA ARUSHA.KUIPONGEZA KAMATI KUU YA CHADEMA PAMOJA NA KUUNGA MKONO SIKU 21 ZA SERIKALI KUTATUA SWALA LA UMEYA WA ARUSHA

Ndugu wanahabari
Mtakumbuka kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi tarehe 19.3.2011,pamoja na maazimio mengine,ilitoa siku 21 kwa serikali kutumia busara kutatua swala la umeya wa Arusha,ambao sote ni mashahidi ya jinsi ulivyokiuka sheria.Bavicha mkoa wa Arusha tunaipongeza kamati kuu,kwa jinsi ambavyo wamekuwa na busara na jitihada zote za viongozi wetu kuzuia umma wa Arusha.Ni busara za viongozi wetu ambazo zimefanya hadi sasa umma wa Arusha umekuwa na subira,tukiamini kuwa kama serikali itatumia busara basi swala la umeya litatatuliwa kidiplomasia,siku 21 zinatosha kabisa kwa serikali kama ina nia ya kweli na dhamira zao zinawatuma hivyo
Bavicha mkoa wa Arusha,tunapenda kuihakikishia kamati kuu na umma wa Tanzania kwa ujumla kuwa,tupo imara,na tupo tayari kupambana hadi ushindi upatikane,vijana na umma wa Arusha hatutakubali wala kuendelea kuvumilia ukiukwaji huu wa sheria katika uchaguzi wa meya,na kamwe hatumtambui wala hatutamtambua meya ambaye si chaguo la wanaarushaNi lazima uchaguzi urudiwe ili haki itendeke,maana msingi wa maendeleo ni HAKI,na bila haki hamna maendeleo wala Amani.Tunasisitiza kuwa baada ya siku 21 tutaingia mitaani kushinikiza uchaguzi wa meya,vijana tupo tayari kwa mapambano,hatutaogopa wala kutishwa na awaye yote,tutapambana hadi kieleweke.

Ikiwa hakuna jambo lolote muhimu ambalo mtu yupo tayari kufa kwalo,basi mtu huyo hastahili kuishi,Martin Luther King Jr


NANYARO E.J.
MWENYEKITI BAVICHA (M)
………………………………..



Duh kweli nimeamni chadema mna uchu wa madarak mnataka kumwaga damu tena Arusha! Hivi kama sheria imepindishwa kwa nini msiende mahakamani! Katika wale waliokufa kuna Bavicha hata mmoja alikufa!? Au safari hii mnataka Bavicha mmoja aondoke? Nashauri njia ya mahakama itumike!
 
Mzito Kabwla,

Hivi kweli unafikiria kutumia nini? Just think ni lini wameanza kupata hiz mil 200? nini manufaa ya kununulia kila mwenye wajibu laptop? Naamini tutafika tu huko. what can you do? Just help them. Naomba tafadhali na wewe usiwe unaipinga CCM ilahali unaiunga mkono bila kujijua.

asante
 
Mzito kabwela,sijui kwa dunia ya leo ulitaka tutumie njia gani ya mawasiliano zaidi ya mobile,email yetu ni arushabavicha@gmail.com,je hata gmail ni ya vichoChoroni?
Sisi bavicha arusha tumejipanga na kamwe hatuwezi kukubali sheria zivunjwe kwa sababu yoyote ile,tutapambana hadi kieleweke
 
BARAZA LA VIJANA CHADEMA MKOA WA ARUSHA(BAVICHA)
P.0.BOX 12525
ARUSHA
TEL.0754 834152
Email.arushabavicha@gmail.com
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)


TAMKO LA BAVICHA MKOA WA ARUSHA.KUIPONGEZA KAMATI KUU YA CHADEMA PAMOJA NA KUUNGA MKONO SIKU 21 ZA SERIKALI KUTATUA SWALA LA UMEYA WA ARUSHA

Ndugu wanahabari
Mtakumbuka kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi tarehe 19.3.2011,pamoja na maazimio mengine,ilitoa siku 21 kwa serikali kutumia busara kutatua swala la umeya wa Arusha,ambao sote ni mashahidi ya jinsi ulivyokiuka sheria.Bavicha mkoa wa Arusha tunaipongeza kamati kuu,kwa jinsi ambavyo wamekuwa na busara na jitihada zote za viongozi wetu kuzuia umma wa Arusha.Ni busara za viongozi wetu ambazo zimefanya hadi sasa umma wa Arusha umekuwa na subira,tukiamini kuwa kama serikali itatumia busara basi swala la umeya litatatuliwa kidiplomasia,siku 21 zinatosha kabisa kwa serikali kama ina nia ya kweli na dhamira zao zinawatuma hivyo
Bavicha mkoa wa Arusha,tunapenda kuihakikishia kamati kuu na umma wa Tanzania kwa ujumla kuwa,tupo imara,na tupo tayari kupambana hadi ushindi upatikane,vijana na umma wa Arusha hatutakubali wala kuendelea kuvumilia ukiukwaji huu wa sheria katika uchaguzi wa meya,na kamwe hatumtambui wala hatutamtambua meya ambaye si chaguo la wanaarushaNi lazima uchaguzi urudiwe ili haki itendeke,maana msingi wa maendeleo ni HAKI,na bila haki hamna maendeleo wala Amani.Tunasisitiza kuwa baada ya siku 21 tutaingia mitaani kushinikiza uchaguzi wa meya,vijana tupo tayari kwa mapambano,hatutaogopa wala kutishwa na awaye yote,tutapambana hadi kieleweke.

Ikiwa hakuna jambo lolote muhimu ambalo mtu yupo tayari kufa kwalo,basi mtu huyo hastahili kuishi,Martin Luther King Jr


NANYARO E.J.
MWENYEKITI BAVICHA (M)
………………………………..
Hapo BAVICHA mmenena kwani tulisubiri sana muongozo wa namana ya kudai haki yetu ila tumeshapata kwamba tutavumialia mpaka hizo siku ishirini na moja zipite baada ya hapo sote tutaungana na ninyi kwenye suala zima la kudaai haki!!
 
Back
Top Bottom