Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...ni-kitambo sijakuona wala kukusikia Tambwe Hiza,uwapi ndugu yangu?,kesho alfajiri naenda Igunga,vp nkupitie twende?,usione so mwana-kwetu,we twende tu ata kwa hiki kibajaj changu,nasikia elkopta za CCM zilikuacha?!,'"usijali"' lakin nilikukanya tangu awali kuwa hao CCM si watu wema,wanatabia mbaya sana yaan u-mtumia mtu kama ile karatasi ya kupangusia masaburi 'TP' alfu wanakubwaga kama gunia la misumari.POLE SANA KAKA..haaa haaa teeeii teeeii****ama kweli CHADEMA NI KIBOKO YA WASEMA OVYOO