muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,057
- 1,001
Aiswe
Nilisema usome sio kwa sababu ya lugha. Vyakula ulivyotaja si monosakaraidi, Ni polisakaraidi.Asante mkuu nitarudi. Ila kabla ya kurudi shule nikuelezetu kwamba Mara nyingi unapoandika habari yoyote ile kwa uwazi inabidi utumie mfumo wa wikipedia uzingatie wasomaji unaowalenga kuwafikia,ikiwa ninalenga wasomi basi sidhani hata kama nitakua na haja ya kuandika kwa kutumia lugha hii.na ni kuambietu Lugha ya kiswahili ni ngumu katika uandishi, hasa pale inapokubidi ubadiri neno Fulani la kigeni(kiingereza)kua kiswahili ndio hapo linakuja swala la kuambiwa umesomea chuo gani lakini kwakua wenyenia ya kuelewa nitakua tayari nimewafikia sinto jali, ila nakushukuru kesho nitakwenda kuchukua form pale shuleni nianze darasa la kwanza kwa ajili ya kukufurahisha wewe
Ndugu aina ya ugonjwa wa kisukari unaozungumzia ni kisukari aina ya kwanza, ambayo husababishwa na kukosekana ama kuharibika kwa seli maalum za kuzalisha homon ya insulin katika kongosho kwa sababu yoyote ile. Hivyo kusababisha kukosekana kabisa kwa kichocheo hicho muhimu, na wagonjwa wa namna hii tatizo hili kwao hua ni namna mbili yani sukari hua inapanda napia inashuka Mara nyingi wagonjwa aina hiyo ni Wateja wa insulin maisha yao yote. Na ukiangalia katika bandiko hilo nimejikita zaidi kwenye tahadhari. Tatizo lisipo dhibitiwa husababisha mwili hulazimika kuchoma mafuta ili kuzalisha nishati (Diabetic ketoacidosis) hii hutokea kwa watu wenye kisukari aina ya kwanza. Kwakua wao Glucose inaingia kwenye seli bila insulin. Kitendo cha mafuta kutumika kuzalisha nishati hapo huzalishwa taka nyingi sana za acid zijulikanazo kitaalam kama'ketones' Kwa kawaida taka hizi(Diabetic ketoacidosis -DKA) hujijenga katika mzunguko wa damu na kusababisha pumzi fupi maluweluwe kutapika na pengine kukuwekea koma na pengine kifo.kuna ukweli kiasi na ila umezungumza in a shallow way ...wale wenye sukari za kurithi nao wamekula nini? unazungumzia sukari ipi ya kupanda au kushuka? nadhani ungejazia nyama zaidi umezungumza kwa wepesi sana mkuu..
kuna ukweli kiasi na ila umezungumza in a shallow way ...wale wenye sukari za kurithi nao wamekula nini? unazungumzia sukari ipi ya kupanda au kushuka? nadhani ungejazia nyama zaidi umezungumza kwa wepesi sana mkuu..
kidogo umeanza kurudi kwenye mstari wa Diabates kwa kusema kufanya mazoezi hilo ndilo jibu tena nakupa 12% iliyobaki 88% umefeli na unashobokea sukari ya miwatu ni ugonjwa wakati wanga wote na bia za ngano ndio chanzo, ili elimu yako haipo tofauti na waganga wa miti shamba, ni kwanini usiingie google au wikipedia? sisi huu ugonjwa tunao na unasumbua na unaweza mpata hata mtoto mdogoMkuu Tiba ya kisukari Mpaka sasa hakuna, ila tujenge desturi ya kua tunapima damu sukari zetu Mara kwa Mara ili kama utakuta kuna dalili ya tishio, Fanya mazoezi uone kama itapungua,na ikatokea umefanya mazoezi na haipungui.basi tayari ushakua mgonjwa wa tatizo hilo, hapo sasa inabidi kufuata matibabu na utaratibu wa kubadili mfumo wa vyakula.
Ndugu nilipotaja monosakaridi na disakaridi sikuzungumzia vyakula Bali nilikua natofautisha monosakaridi ndio inayofaa na disakaridi haifai.nikaeleza kua sukari tunayoitumia sasa ni kutoka disakaridi na nikaeleza kama Mtu anatumia sukari aina ya disakaridi aambatanishe vipi na vyakula vingine ili isitokee kuto kuvunjwa vunjwa. Kwa kawaida unapotumia sukari aina ya disakaridi ni lazima ivunjwe kwanza ili iwe monosakaridi na ndipo mwili itaipokea.kwa hiyo vile vyakula nilivyotaja pale sikua na maana vitoke kundi gani. Bali nilimaanisha kusiwe na mwingiliano baina ya monosakaridi na disakaridi kwa wakati mmojaNilisema usome sio kwa sababu ya lugha. Vyakula ulivyotaja si monosakaraidi, Ni polisakaraidi.
Hii elimu sijui umetoa wapi.Ndugu nilipotaja monosakaridi na disakaridi sikuzungumzia vyakula Bali nilikua natofautisha monosakaridi ndio inayofaa na disakaridi haifai.nikaeleza kua sukari tunayoitumia sasa ni kutoka disakaridi na nikaeleza kama Mtu anatumia sukari aina ya disakaridi aambatanishe vipi na vyakula vingine ili isitokee kuto kuvunjwa vunjwa. Kwa kawaida unapotumia sukari aina ya disakaridi ni lazima ivunjwe kwanza ili iwe monosakaridi na ndipo mwili itaipokea.kwa hiyo vile vyakula nilivyotaja pale sikua na maana vitoke kundi gani. Bali nilimaanisha kusiwe na mwingiliano baina ya monosakaridi na disakaridi kwa wakati mmoja
Pia nikwambietu, kikemia sukari ni aina ya kabohaidreti.yaani wanga, kwa mfano tukila ugali wali au mkate.mwili hulazimika kuvunja molekyuli za wanga kua molekyuli ndogo za sukari ili itumiwe na mwili na ndio maana nikaeleza kuwe na mda kati ya chai na vyakula hivyo ili ile molekyuli kubwa zaidi ikutwe ishavunjwa kuepusha madhara ya kuto kuvunjwa.
Aina zote za sukari ni sehemu ya dutu zinazoitwa kabohaidreti na ile sukari tunayoitumia kama chakula huitwa sukrosi na molekyuli yake ni kubwa ambayo niliandika kule. Na pia kuna sukari ndani ya matunda ambayo hujulikana kama fruktosi na viwango vyake niliandika kule pia, ambavyo ndivyo vinavyofanya utamu wa matunda
Mbali na kukutajia vyakula mi naona ningekutajia Monosakaridi ni zipi Disakaraidi ni zipi na pia hiyo Polisakaridi pia ni ipi.kuna aina tatu za kabohaidreti ama twaweza sema haidret kabonia.ambazo ni.Naomba unitajie vyakula vyote vya polisakaraid tuanze na sukari ya chai vingine ni vipi
Kwa msaada tafuta nyuzi nyingine za kisukari humu. Hii maelezo yake mengine yanapotosha.Elimu nzr sana hii
Kunywa chai na mihogo wali ndizi na kuku sio tatizo ni uwongo. Usiifanye sayansi ikawa kama katiba kwamba haibadiriki mpaka watu Fulani wakae ndio waamue ibadirike. Acha kupotosha watu hayo unayosema ndio yamepelekea tatizo hili kua kubwa.Hii elimu sijui umetoa wapi.
Vyakula ulivyotaja viazi, wali vina starch. Ambayo ni polysakaraidi.
Monosakaraidi ni ndogo kuliko daisakaraidi na daisakaraidi ni ndogo kuliko polysakaraidi.
Halafu monosakaraidi hazivunjwi tena. Hufyonzwa moja kwa moja kuingia kwenye mfumo wa damu.
Na polysakaraidi huvunjwa kuwa daisakaraidi na mwisho kuwa monosakaraidi ili zitumike sasa.
Kwa elimu unayotoa hapa hata biolojia ya kidato cha tano tu hauko sahihi.
Siyo vizuri kusambaza elimu ambayo hujatoa sehemu zinazoaminika. Ni hatari.
Na kama hujasomea ujuzi huo bora ukauliza walosomea wakueleweshe hata kama unataka kusaidia kutoa elimu.
Kunywa chai na mihogo, wali,ndizi na kuku si tatizo.
Tatizo la chai ni sukari ya viwandani yenye umbile tofauti na sukari inayopatikana kwenye vyakula vya asili. Na si mfumo wa kumeng'enya hivyo.
Huo ndio wamuzi wa busara Siku zote hutakiwi kudandia gari kwa mbele.Maana huenda ikakugharimu.Ungefuatilia ninashauri nini sidhani hata kama ungekuja kwa Rangi hiyo. Mihogo sikukataza watu wasile ila nilitofautisha mdatu.Hii elimu sijui umetoa wapi.
Vyakula ulivyotaja viazi, wali vina starch. Ambayo ni polysakaraidi.
Monosakaraidi ni ndogo kuliko daisakaraidi na daisakaraidi ni ndogo kuliko polysakaraidi.
Halafu monosakaraidi hazivunjwi tena. Hufyonzwa moja kwa moja kuingia kwenye mfumo wa damu.
Na polysakaraidi huvunjwa kuwa daisakaraidi na mwisho kuwa monosakaraidi ili zitumike sasa.
Kwa elimu unayotoa hapa hata biolojia ya kidato cha tano tu hauko sahihi.
Siyo vizuri kusambaza elimu ambayo hujatoa sehemu zinazoaminika. Ni hatari.
Na kama hujasomea ujuzi huo bora ukauliza walosomea wakueleweshe hata kama unataka kusaidia kutoa elimu.
Kunywa chai na mihogo, wali,ndizi na kuku si tatizo.
Tatizo la chai ni sukari ya viwandani yenye umbile tofauti na sukari inayopatikana kwenye vyakula vya asili. Na si mfumo wa kumeng'enya hivyo.
Asante sana ndugu yangu samahani je ni vyakula gani vya kuondoa ile gundi kwenye seliMbali na kukutajia vyakula mi naona ningekutajia Monosakaridi ni zipi Disakaraidi ni zipi na pia hiyo Polisakaridi pia ni ipi.kuna aina tatu za kabohaidreti ama twaweza sema haidret kabonia.ambazo ni.
1 Monosakaridi
2 Disakaridi
3 Polisakaridi
Monosakaridi ni kama Glucose, na fruktosi. Ambazo hizi hupokelewa moja kwa moja na mwili. Na vyakula vyake ni Glucose yenyewe ambayo hupatikana madukani kupita vifungashio maalum.Matunda tamu. Na Asali.
Disakaraidi ni kama.Sukrosi ambayo ni sukari ya kawaida ipatikanayo madukani Vinywaji tamu mbalimbali vilivyo tengenezwa kwa sukari maalum iliotengenezwa kwa ajili ya product za viwandani.Kama vile soda juice na pia hata vitafunwa kavu.kama vile G.kubwa almaarufu kama Big G. na kadhalika.
3 Polisakaridi ni kama Wanga na selulosi.Na jamii ya wanga ni kama ugali wali chapati mkate na jamii nzima ya nafaka Nikiorozesha hapa tutachosha wanaosoma marumbano haya maana jana watu walilalamika sana.Na nikueleze kidogo selulosi. Ni kwamba hii ni tishu ya miti ama mimea. Kwa hiyo Sukari ulioitaja katika Polisakaridi hapa haihusiki.
huyu mtu isije kuwa tunamaliza nguvu zetu kumbe ni wale wauza alovera wa for ever linvingni mpenzi wa hivi vitu
asali
ndizi mbivu
embe
navitumia kwa wingi japo sio kwa mara moja/kwa mkupuo
je ninahatari ya kukumbwa na kisukari?
Ndugu nilijikita zaidi kwenye tahadhari nikaeleza kula vyakula pasipo mpangilio mzuri ni chanzo cha tatizo la kisukari.Asante sana ndugu yangu samahani je ni vyakula gani vya kuondoa ile gundi kwenye seli
Ndugu nilijikita zaidi kwenye tahadhari nikaeleza kula vyakula pasipo mpangilio mzuri ni chanzo cha tatizo la kisukari. Nikaeleza mtu unapokula sukari na hapo hapo ukala vyakula vya wanga, kitachotokea hapo ni kuvunjwa kwa wanga kwanza. Baada yake ndipo ile sukari ije kuvunjwa. Na kuvunjwa kwake inategemea na hapo katikati umekula mlo gani, ikiwa kama hapo katikati utafuatanisha wanga. Basi ile sukari itaendelea kua pending. Sasa kitendo hicho kusubiri kwa muda mrefu bila kuvunjwa kupelekea hiyo sukari kutupwa kwenye damu. Pasipo kuvunjwa. Na kitendo hicho likiwa kinafanyika kila wakati, hapo kongosho nalo litakua Na kazi kubwa ya mda wote kutoa homon.ya insulin.Asante sana ndugu yangu samahani je ni vyakula gani vya kuondoa ile gundi kwenye seli