Tamaa ni mbaya sana, sirudii

Tamaa ni mbaya sana, sirudii

Pole baba mimi nimekuelewa. sasa angalia maana hata baba nanii mtaani kwetu ilikuwa hivyo akajiapiza na viapo vyote lakini akarudia tena.

La msingi mrudie muumba wako kwa toba ya kweli.
 
Mhh..wewe utakuwa ulizungushwa mtaan ukiwa u*** ndo maana ulikuwa ukiushangaa mtaa! Pole yako kwl na usrudie...
 
Fikirisha kidogo akili mkuu
Kama ungekuwa chumba cha mtihani umeambiwa utunge insha kutokana na kichwa cha habari kilivyo,ungetaka mtunga swali akutungie insha yote?

Ndo mana nikasema nimemuelewa ila kuthimulia kisa kizima nikiwa na maana ingukuwa vyema tuujue huu mkasa umemkuta katika mazingira yepi hasa ili kama ni kujifunza basi tujifunze vyema!! Mfanoalikuwa ni kwenye ndoa?? coz kuna wanaoamini kwa kuwa wamo kwenye ndoa hata wafanye kosa kubwa vipi atasamehewa na mumewe/mkewe, ndiyo ilikuwa maana yangu ya kwanza.

Ya pili, jamaa kwa haraka haraka ukimsoma ni kwamba anaumia sana! Tugependa kujua ni kipi kinamuumiza sasa yaani kapata magonjwa au kapoteza mali au ni kipi hasa kilichomfanya agundue yule alikuwa mwema na huyu mbaya?? Ni point ya msingi sana coz ndiyo mistakes tunafanya kila leo kumdharau uliyenaye

Lakini kilichomfanya aharibu huku kuzuri akahimia kule kubaya. Tena hapa ndo haswaa tunapasa kujifunza sana hapa kutokana na lifestyles zetu siku hizi unamuacha yule kisa huyu ana gari.

Ndicho nilichokuwa na maanisha ndugu
 
Poleee kwa kufumwa na yuleee beki tatu palee kitaa
Jamani msidharau beki tatu. Kuna walio angukia ofisi hii kwa sababu tu ya maisha ya wazazi. Akipata nafwasi, na ukute madha hausi hajali jali vimambo vidogo, nakwambia anazingua kitaaa. Ohooopooo nasema usidharau beki tatu anazidi hata kuku wa kienyeji. Niliona jamaa na UDSM yake, Ualim kachukua mazimaaaa
 
Tatizo hamjielewi wala hamjitambui mmegeuza madudu yenu fagio la chuma hadi kuckofagilika mnafagia.
 
Ukisahau rudia tena.............CHUNGU LAKINI DAWA
 
Kumbe ndio ulieshangaza hapa mtaani loh!!!!!!! afadhali nimejua kuwa upo jf.
 
Fikirisha kidogo akili mkuu
Kama ungekuwa chumba cha mtihani umeambiwa utunge insha kutokana na kichwa cha habari kilivyo,ungetaka mtunga swali akutungie insha yote?
upo sahihi.
 
Jamani msidharau beki tatu. Kuna walio angukia ofisi hii kwa sababu tu ya maisha ya wazazi. Akipata nafwasi, na ukute madha hausi hajali jali vimambo vidogo, nakwambia anazingua kitaaa. Ohooopooo nasema usidharau beki tatu anazidi hata kuku wa kienyeji. Niliona jamaa na UDSM yake, Ualim kachukua mazimaaaa

mmmh!!
 
Back
Top Bottom