Talaka saba ... !!Are you serious ..??

Talaka saba ... !!Are you serious ..??

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,939
Mmefunga ndoa yenu kwa nderemo vifijo na sherehe nzuri tu, mnaanza maisha kwa matumaini makubwa ya ndoa yenye furaha mafanikio na amani tele

Lakini katikati ya safari mambo yanaharibika mnatofautiana kwa sababu hii au ile, mnasahau happy moments zoote mlizopitia mnashindwa kucompromise , mwishowe mnaishia mahakamani kudaiana talaka au mnatwangana talaka sababu

Jamani jamani jamani talaka haitakupunguzia maumivu bali itakuwa ndio Mwanzo wa kuyumba kimaisha na kuombeana mabaya

Tuvumiliane katika mahusiano yetu Siku hazifanani sikila Siku itakuwa ya amani na furaha kila mmoja analia mazuri na mabaya yake
 
Kuna mambo ya kuvumilika mengine hell no hayavumliki,kwangu mimi ni kipogo hicho sivumilii ngooo
 
Si bora hizo taraka saba…watu wanatoa talaka kumi na mateke juu hadi kwenu…chezea wanaume wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom