Hapana mkuu.....Hawa wote ni miambaMkuu angalia usije kuumbuka kama yule Okwi Boban Sunzu na nyuzi zake za namna hii maana mpira unakuwaga na matokeo ya kikatili sana na yasiyotegemewa..
Tutakuja fukua huu uzi....
Mayele ana nini cha ajabu?Inakuwaje Mtu mwenye akili timamu akamlinganisha MAYELE na vitu vya kijinga??
Mtetemesha matiti amekuwa substituted mara moja vs Phiri mara zote 7 (Kacheza dk chache)Mayele ana hat trick 2 heavyweight za CAF CHAMPIONS lakini Phil ana goal Kali zaidi pale mjini CAF?????View attachment 2362752
Tusubiri huyo "PHILI" akija kucheza ligi yetu ndio tuanze kulinganisha takwimu. Siyo sahihi kulinganisha wachezaji wasiocheza ligi moja.Salaaam Wana JF
Baada ya kila upande wa wachambuzi na mashabiki wa mpira kuchambua ubora wa wachezaji hawa king Mayele vs king Phili katika kufumania nyavu leo nimekuletea takwimu zao za msimu huu
Takwimu zao za msimu huu king Mayele ( Mr hat trick) vs king Phili ( no hat trick)
King Mayele:
Michezo:. 7
Magoli :. 11
Assists:. 1
Hat trick:. 2
King Phili
Mechi. 7
Goal. 6
Assists. 0
Hat trick. 0
Takwimu hazidanganyi, Je Nani Ni mkali zaidi Kati ya Mayele vs Phili?????
Tuwekee na dakika walizocheza kila mmoja.Salaaam Wana JF
Baada ya kila upande wa wachambuzi na mashabiki wa mpira kuchambua ubora wa wachezaji hawa king Mayele vs king Phili katika kufumania nyavu leo nimekuletea takwimu zao za msimu huu
Takwimu zao za msimu huu king Mayele ( Mr hat trick) vs king Phili ( no hat trick)
King Mayele:
Michezo:. 7
Magoli :. 11
Assists:. 1
Hat trick:. 2
King Phili
Mechi. 7
Goal. 6
Assists. 0
Hat trick. 0
Takwimu hazidanganyi, Je Nani Ni mkali zaidi Kati ya Mayele vs Phili?????
Ana kiatu chochote hata cha kombe la kuku?