Katika uchaguzi mkuu 2010 idadi ya waliopiga kura ilikuwa chini ya nusu kulinganisha idadi ktk daftari, zimefuatia chaguzi ndogo hadithi ni ileile. Wasiwasi wangu ni kuwa si kweli kuwa watu hawjitokezi bali daftari limechakchuliwa lengo likiwa kukuchakachua matokeo. Mnasemaje