Takukuru yafanya uonevu Masasi

Takukuru yafanya uonevu Masasi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,135
Reaction score
282,835
Hebu angalieni hii

Screenshot_2025-03-19-16-16-03-1.png
Screenshot_2025-03-19-16-16-09-1.png


Unakamata wadogo wanaofanya kampeni lakini unamuacha mkubwa aliyeanza kampeni miaka miwili iliyopita huku akigawa mizawadi kibao iliyopachikwa picha zake.

Au yeye kahalalishwa kufanya kampeni na wengine hawaruhusiwi?

Siwapendi Wanaccm lakini kwenye hili nawatetea, hii ni kwa sababu Kiongozi ndiye anayeongoza njia , Kaanza yeye na hawa wengine wanamfuata, Tatizo liko wapi?
 
Back
Top Bottom