Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,135
- 282,835
Hebu angalieni hii
Unakamata wadogo wanaofanya kampeni lakini unamuacha mkubwa aliyeanza kampeni miaka miwili iliyopita huku akigawa mizawadi kibao iliyopachikwa picha zake.
Au yeye kahalalishwa kufanya kampeni na wengine hawaruhusiwi?
Siwapendi Wanaccm lakini kwenye hili nawatetea, hii ni kwa sababu Kiongozi ndiye anayeongoza njia , Kaanza yeye na hawa wengine wanamfuata, Tatizo liko wapi?
Unakamata wadogo wanaofanya kampeni lakini unamuacha mkubwa aliyeanza kampeni miaka miwili iliyopita huku akigawa mizawadi kibao iliyopachikwa picha zake.
Au yeye kahalalishwa kufanya kampeni na wengine hawaruhusiwi?
Siwapendi Wanaccm lakini kwenye hili nawatetea, hii ni kwa sababu Kiongozi ndiye anayeongoza njia , Kaanza yeye na hawa wengine wanamfuata, Tatizo liko wapi?