DOKEZO PreGE2025 TAKUKURU mulikeni na kwa Waziri Ndumbaro, anapenyeza michuzi kuhonga wajumbe Songea

DOKEZO PreGE2025 TAKUKURU mulikeni na kwa Waziri Ndumbaro, anapenyeza michuzi kuhonga wajumbe Songea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Mbunge na Waziri wa katiba na Sheria Damas Ndumbaro akiwa Songea ukumbi wa bombambili, alitoa 'posho' ya Tsh. 20,000/=kwa Kila mjumbe.

Ambapo wajumbe hao ni wapiga kura za maoni ndani ya chama kwa uchaguzi ujao.

Kwa kavideo hako ni mabalozi na wajumbe wa mabalozi ambao idadi yao ni wajumbe wapatao 4,225.



Ni kwamba haiishii hapo, mpango ni kuwafikia wajumbe wote wa manispaa ya Songea ambao wapo takribani wajumbe 9,000.

Ilhali akitumia gari la wizara kufanya mambo hayo. Kamati za Siasa Wilayani na Mkoa mmekubali kununulika af mbili mbili? Mwanasheria anakuwa wa kwanza kutoa rushwa, aroo🤣🤣

Au ndio mambo yao tuwaachie wenyewe kama anavyosemaga Smart911 na Mahondaw tuwe nao sambamba mpaka wamalizane?😂 Lini hamna, inauma kodi zetu zinaenda kuliwa na wajumbe kizembe

TAKUKURU kazi kwenu.
 
Kaleta u-simba wizara ya michezo, kapelekwa sheria. Samia ukitoa waziri wa michezo Simba umweke wa Yanga.
Waziri - Simba
Naibu Waziri- Simba
Rais TFF - Simba
Mwenyekiti Bodi ya Ligi - Simba

Sema nini "Yanga Bingwa"
 
Wakuu,

Mbunge na Waziri wa katiba na Sheria Damas Ndumbaro akiwa Songea ukumbi wa bombambili, alitoa 'posho' ya Tsh. 20,000/=kwa Kila mjumbe.

Ambapo wajumbe hao ni wapiga kura za maoni ndani ya chama kwa uchaguzi ujao.

Kwa kavideo hako ni mabalozi na wajumbe wa mabalozi ambao idadi yao ni wajumbe wapatao 4,225.

View attachment 3331450

Ni kwamba haiishii hapo, mpango ni kuwafikia wajumbe wote wa manispaa ya Songea ambao wapo takribani wajumbe 9,000.

Ilhali akitumia gari la wizara kufanya mambo hayo. Kamati za Siasa Wilayani na Mkoa mmekubali kununulika af mbili mbili? Mwanasheria anakuwa wa kwanza kutoa rushwa, aroo🤣🤣

Au ndio mambo yao tuwaachie wenyewe kama anavyosemaga Smart911 na Mahondaw tuwe nao sambamba mpaka wamalizane?😂 Lini hamna, inauma kodi zetu zinaenda kuliwa na wajumbe kizembe

TAKUKURU kazi kwenu.
1747025230205.png
 
Wakuu,

Mbunge na Waziri wa katiba na Sheria Damas Ndumbaro akiwa Songea ukumbi wa bombambili, alitoa 'posho' ya Tsh. 20,000/=kwa Kila mjumbe.

Ambapo wajumbe hao ni wapiga kura za maoni ndani ya chama kwa uchaguzi ujao.

Kwa kavideo hako ni mabalozi na wajumbe wa mabalozi ambao idadi yao ni wajumbe wapatao 4,225.

View attachment 3331450

Ni kwamba haiishii hapo, mpango ni kuwafikia wajumbe wote wa manispaa ya Songea ambao wapo takribani wajumbe 9,000.

Ilhali akitumia gari la wizara kufanya mambo hayo. Kamati za Siasa Wilayani na Mkoa mmekubali kununulika af mbili mbili? Mwanasheria anakuwa wa kwanza kutoa rushwa, aroo🤣🤣

Au ndio mambo yao tuwaachie wenyewe kama anavyosemaga Smart911 na Mahondaw tuwe nao sambamba mpaka wamalizane?😂 Lini hamna, inauma kodi zetu zinaenda kuliwa na wajumbe kizembe

TAKUKURU kazi kwenu.
Kwa chama chetu hio ni kawaida zinagatia... Huyo ni waziri wa katiba na sheria
 
Wakuu,

Mbunge na Waziri wa katiba na Sheria Damas Ndumbaro akiwa Songea ukumbi wa bombambili, alitoa 'posho' ya Tsh. 20,000/=kwa Kila mjumbe.

Ambapo wajumbe hao ni wapiga kura za maoni ndani ya chama kwa uchaguzi ujao.

Kwa kavideo hako ni mabalozi na wajumbe wa mabalozi ambao idadi yao ni wajumbe wapatao 4,225.

View attachment 3331450

Ni kwamba haiishii hapo, mpango ni kuwafikia wajumbe wote wa manispaa ya Songea ambao wapo takribani wajumbe 9,000.

Ilhali akitumia gari la wizara kufanya mambo hayo. Kamati za Siasa Wilayani na Mkoa mmekubali kununulika af mbili mbili? Mwanasheria anakuwa wa kwanza kutoa rushwa, aroo🤣🤣

Au ndio mambo yao tuwaachie wenyewe kama anavyosemaga Smart911 na Mahondaw tuwe nao sambamba mpaka wamalizane?😂 Lini hamna, inauma kodi zetu zinaenda kuliwa na wajumbe kizembe

TAKUKURU kazi kwenu.
Watu kupewa nauli sio hoja.
 
Sasa 20,000 nayo hela? Emu acheni nongwa hizo mimi nikajua kawakatia million 20 kila mmoja afu 20 mnapiga yowe?
Si hela ndugu, ni kamasi tu zenye zimejaa kwa kichwa😊😊

Hata ingekuwa sh mia ni rushwa! Na ina athari kubwa kwenye kutoa huduma kwa watanzania.

Ndio nyie serikali ikiweka/kuongeza kodi ya tsh. 50 mnasema mbona ni ndogo, tulipe tu!

GHARAMA yake ni ipi? Kwanza tuanze alf 20 x 4000? Kashawishi wangapi ambao wanaweza kumchagua? Anngekuwa na uwezo asingefanya hivyo, akipita ni miaka mitano mingine ya huduma mbovu kutokana na utumishi wake.

Bado unaona alf 20 ama hata sh 50 si kitu?
 
Si hela ndugu, ni kamasi tu zenye zimejaa kwa kichwa😊😊

Hata ingekuwa sh mia ni rushwa! Na ina athari kubwa kwenye kutoa huduma kwa watanzania.

Ndio nyie serikali ikiweka/kuongeza kodi ya tsh. 50 mnasema mbona ni ndogo, tulipe tu!

GHARAMA yake ni ipi? Kwanza tuanze alf 20 x 4000? Kashawishi wangapi ambao wanaweza kumchagua? Anngekuwa na uwezo asingefanya hivyo, akipita ni miaka mitano mingine ya huduma mbovu kutokana na utumishi wake.

Bado unaona alf 20 ama hata sh 50 si kitu?
60,000,000 - 4,000 =?

Huko mbali sana

600,000 - 4,000 =?
 
Kaleta u-simba wizara ya michezo, kapelekwa sheria. Samia ukitoa waziri wa michezo Simba umweke wa Yanga.
Waziri - Simba
Naibu Waziri- Simba
Rais TFF - Simba
Mwenyekiti Bodi ya Ligi - Simba

Sema nini "Yanga Bingwa"
Aroo Mkuu kwenye yote hayo umeondoka na Simba na Yanga tu? Au kuna kitu sijaelewa?🤔🤔
 
Back
Top Bottom