Kitambo kidogo mkuuNimewaza mbali sanaaa.. kutazama hizi suraView attachment 3588149
Huyo bidada Maua Daftari yuko wapi siku hiziNimewaza mbali sanaaa.. kutazama hizi suraView attachment 3588149
Leo nilikua home kumuona Mzee wangu. Kwenye . Archive yake nikakutana na hili jarida limenikumbusha mbali. Nimewahi kua CCM chipukizi , tangu nilivo balehe tu nikapata akili nikawa mfuasi wa chadema. Tulikua tunabishana sana na mzee kuhusu mambo ya siasa maana nligeuka mpinzani wake π
View attachment 3588136
View attachment 3588137
View attachment 3588139
Apa kuna mmoja amekua waziri
View attachment 3588141
View attachment 3588142
Lucas mwashamba yuko apa.
View attachment 3588143
View attachment 3588144
Hawa maswahiba tangu kitambo tu
View attachment 3588135
Dr. Salmin AmourKitambo kidogo mkuu
well done,Sio kufuata mkbo mkuu, nilipevuka kifikra
Binafsi nilivutiwa na sera za upinzani mkuu.. ningeendelea kubaki CCM ndo ningekua nafuata mkumbo kwasababu tu mzee wangu yupo huko.well done,
lakini gentleman,
ingelikua ni kupevuka kifikra, ungekua zaidi ya wafuata mkumbo ambao kirahisi sana hubebwa ufala wa kifikra na wajanja na kujitumbukiza kwenye hatari zinazowaumiza wenyewe.
ukipevuka kifikra,
hutegemewi kufuata mkumbo au kubebwa ufala wa kifikra kirahisi rahisi tu kama ilivyo kwa wengi huko uliko
Karibu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo mkuu.well done,
lakini gentleman,
ingelikua ni kupevuka kifikra, ungekua zaidi ya wafuata mkumbo ambao kirahisi sana hubebwa ufala wa kifikra na wajanja na kujitumbukiza kwenye hatari zinazowaumiza wenyewe.
ukipevuka kifikra,
hutegemewi kufuata mkumbo au kubebwa ufala wa kifikra kirahisi rahisi tu kama ilivyo kwa wengi huko uliko
kamwe siwezi kua mliberali kwenye maisha yangu gentleman,Karibu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo mkuu.
Rudi kwenye asili mzee ,leo yawezekana ungekuwa unakula kwa urefu wa kamba yako ila unaoga mitusi mitandaoni kama brother Chandekitambo sana mkuu.