3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Mdau wa football...
Katika maisha ya soka kuna wachezaji waliocheza timu moja mara 2..
Yaani akauzwa, au mkataba wake ukaisha akaondoka then akarudi tena kwenye klabu yake ya zamani na maisha yakaendelea.
Mimi naanza na hawa ninao'wakumbuka :--
Wayne ROONEY >> Everton
Santiago CARZOLA >> Villareal
Ibrahim AJIBU >> Simba
Paul POGBA >> Man utd.
Twende kazi...
Katika maisha ya soka kuna wachezaji waliocheza timu moja mara 2..
Yaani akauzwa, au mkataba wake ukaisha akaondoka then akarudi tena kwenye klabu yake ya zamani na maisha yakaendelea.
Mimi naanza na hawa ninao'wakumbuka :--
Wayne ROONEY >> Everton
Santiago CARZOLA >> Villareal
Ibrahim AJIBU >> Simba
Paul POGBA >> Man utd.
Twende kazi...