Taja wachezaji walioondoka na kurudi tena kwenye timu zao za zamani

Mdau wa football...

Katika maisha ya soka kuna wachezaji waliocheza timu moja mara 2..
Yaani akauzwa, au mkataba wake ukaisha akaondoka then akarudi tena kwenye klabu yake ya zamani na maisha yakaendelea.
Mimi naanza na hawa ninao'wakumbuka :--
Wayne ROONEY >> Everton
Santiago CARZOLA >> Villareal
Ibrahim AJIBU >> Simba
Paul POGBA >> Man utd.

Twende kazi...
Ongeza
Okwi,Haruna shamte,Haruna Moshi---simba
Miraji Athumani---- Simba
Kichuya >simba
Ngasa,Nionzima na Ninja>Yanga
Waziri Jr>Mbao
Pique,Fabrigas>Barcelona
Morata >Juve/Madrid
Henry>Arsenal
Matic>Chelsea
Gotze,Humels>B,Dortmund
Ibrahimovic>Ac Milan
Blind>Ajax
Teves>Bocca Jr
Ally Shomar>Mtibwa
Mbaraka yusufu>Kagera
List ni ndefu kuna hao akina kapombe
Said Dilunga >Ruvu shooting
Kazimoto >Simba,Jkt Tz(Jkt ruvu)
 
Back
Top Bottom