Taja tabia ya Athuman hapa

Ana sifa ya ubishi na king’ang’anizi wa kupita hata pasipo njia,,sema huwa wanamkaribisha wenyewe kwenye vichochoro vyao ,yakibuma mambo unaskia tukimkamata tunamfunga miaka 30 jera.
 
Atakua ndugu yake Malebo wa unga ltd chuga na majengo Nairobi...
 
Mungu is Athumani kaanzisha nan huo msemo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Athmanie vipi mambo varu varuuuu!!!! umemuoa bado angali kijana.........ukipata chungu kipyaaa usitupe cha zamani!!!! atmanieee!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…