V vmoney Member Dec 30, 2017 16 6 Jan 1, 2018 #1 Yangu (1)mateso kwa vijana(no ajira) (2)siasa mchezo mkali (3)Maisha magumu (4)...................................
Yangu (1)mateso kwa vijana(no ajira) (2)siasa mchezo mkali (3)Maisha magumu (4)...................................
N ndayilagije JF-Expert Member Nov 7, 2016 7,492 8,295 Jan 1, 2018 #2 Tatizo kubwa kabisa limekuwa/litaendelea kuwa kuimba matatizo.Huponi kwa kusema naumwa.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,836 93,624 Jan 1, 2018 #3 Kupigwa risasi kwa mtetezi wa taifa
Hammy Js JF-Expert Member Sep 20, 2017 3,054 3,255 Jan 1, 2018 #4 Tetemeko la ardhi Kagera ,Ajali ya watoto wa shule ya luck Vincent. nk
Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 Jan 1, 2018 #5 Vyuma kukaza kwa watu ambao si wapiga dili
Lyampinga Senior Member Apr 13, 2008 145 61 Jan 1, 2018 #6 Kuwa na mtukufu asiyejua anatakiwa kufanya nini ili kuleta maendeleo.