Taja comments zoeleka zinazokukela humu JF

Taja comments zoeleka zinazokukela humu JF

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
10,712
Reaction score
33,965
"TAFUTA HELA WEWE"
Unakuta kaamtu kanakoandika hivi kamekakamaa na njaa kapo tu kijiweni kanapiga stori kuwa bandari imeuzwa.

Au unakuta ni jobless miaka mitano anaishi kwa ndugu, halafu unakuta ndugu alikaambia kajishughulishe na hata vibarua ila kanakataaa.

Cha kushangaza kuna mtu ataaandika "tafuta hela wewe" kwenye comments hahaha

Taja nyingine unazozijua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom